For the first time kuona Njiwa katajwa in the same group na wahusika ulotaja.... Dah!
Napingana na wewe ............... Unajuwa challenges ndo zinakufanya ukuwe kimawazo, kifikra, kielimu, kimaisha ya kawaida, na vile vile ili ujuwe uwepo wa mnene basi mwembamba lazima awepo vinginevyo utakosa mahala pa kulinganishia.................. WAACHENI WAFU WAWEPO ILI TUJUWE THAMANI YA UZIMANimechukungulia forums ya malaria sugu imekuwa ikiandama sana Chadema, wale user waliokuwa wakilalamika sana hapa jf naona wamepotelea huko.
Nawatakia masiha mema ktk forums yao.
wapotee huko huko hawana mchango wowote kwa taifa
Nimechukungulia forums ya malaria sugu imekuwa ikiandama sana Chadema, wale user waliokuwa wakilalamika sana hapa jf naona wamepotelea huko.
Nawatakia masiha mema ktk forums yao.
wapotee huko huko hawana mchango wowote kwa taifa
Someni post zake!hata mimi ndicho kilichonishangaza.......sidhani kama doctor anastahili kuwa kwenye kundi hili....
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">hata mimi ndicho kilichonishangaza.......sidhani kama doctor anastahili kuwa kwenye kundi hili....</span></font></font>
hata mimi ndicho kilichonishangaza.......sidhani kama doctor anastahili kuwa kwenye kundi hili....