Hahaaaaa!! For sure!
We mrembo una asili ya wapi?
Hahahaaaa!! Asili ya Tanzania, why asking?
i am curious
mchaga,msukuma or mpare?
Ni maumivu zaidi ya maumivu but nataka nijivue kwake maana ni miaka mitatu sasa lakini bado sijapata jibu na anamiambia tuwe marafiki tu nami nampenda maana hakuna mwingine ambaye anaweza akanifanya nikamsahau maana kanifanya niwahate ma she wote. Hebu niambien wadau nifanyeje na anafahamu nampenda kupita kiasi.
Neither of the above.
Now i am more curious
dodoma singida tabora bukoba?
Naaah!!
Tanga Zanzibar pwani?
Neither of the above.
We mchagga unakataa kabila lako??!! miss chagga njoo umuone mdogo wako anakataa asili yake!
Teh teh teh, am not, ningekuwa walaa nisingekana, am proud of ma tribe but its isnt chaga
Haya chukua mji useme sasa