Zantel: *62#+255125#ok. Voda *62#+255754125125#ok. Kwa Tigo na airtel sifaham.
Kwenye simu za symbian kuna applications ambazo natumia moja inaitwa Handy Blacklis unachagua simu tu unazozitaka zisiingie hata sms zao halafu ya pili ninayoitumia inaitwa Mobicall. Hizi ni nzuri sana sijui kuweka link ningeweka. Vile vile ninashauri ili uitumie simu yako vizuri uihack. Nilisoma kwenye forum moja ya simu za aina zote inaitwa imserba.
mkuu hebu fanya maujanja tupate na Airtel na Tigo
ni apps za kudownload au znakuwa found kene simu unapoinunua
Mi nataka namba ya mtu mmoja asinipate,nipo voda[/QUOTE
Download hand blacklist kwenye 4shared
samsung wanayo hiyo, ila tatizo lake ni kwamba sms inakuwa sent kwake na inamwambia delivered ila kwako wewe haiji!!
Kama simu yako ni nokia ukifungua Ovi utazikuta au hata kwenye Opera Store utazikuta ni bure kabisa full licenced.
Kuepuka usumbufu ni ku-install call control software.
Thnx!!mfano kama utaluhusu *35*0000#kisha ok hapo utakuwa umesitisha cm ambazo utakuwa umepigiwa wala sms hutaweza kupata na simu yako bado itakuwa oni.we utaweza kupiga hata kutuma sms ila hawezi kukupigia ukitaka kuifungua au iludi kwenye hali yake ya kawaida ni #35*0000#kisha ok.kwa wenye elimu zaidi tupeane maujanja
call Barrin haina mzuka coz mtu anajua kabsa kuwa umefanya makusudi...siunajua mtu akipiga call inaaanika terminated or call end...i always divert calls to avoid hiyo hisia mbaya...to divert calls nenda setting then, call settings...Divert calls to your own number or write 000....ukifanya hivyo mtu akikupigia simu yake huandika call busy au inakata yenyewe without writtin anythin....hapo mtu hawezi jua sababu ni nini...