measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,406
Kwanza lazima ujue kuwa hakuna njia salama kabisa(100% safe)...
Pili kwa kuwa unahitaji kujua njia ya asili, basi njia pekee ni kusoma mzunguko wa hedhi wa mwanamke na kuepuka kufanya mapenzi zile siku hatarishi...
Njia iliyo 100% ni kuacha kufanya tendo la ndoa hiyo una uhakika huwezi kupata ujauzito