Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,744
Wadau nina hili tatizo la kuwashwa njia ya mkojo. Pia wakati wa kukojoa nina maumivu wakati fulani. Nielekezeni kwa urologist mzuri tafadhali
weweee!!! atachomoza kwenye monitor yako, ohoooooooIkate tuu:becky::becky:
mwaya wahi sipitali
Hata si gono wala kaswende
Hata si gono wala kaswende
Maumivu yameanza lini? Inawezekana ukawa na urinary tract infection (UTI)...harakisha ukamwone tabibu
sasa Kingi, kumbe unajua hilo tatizo siyo?
Hebu eleza kwa kina una washwa wakati gani baada ya kunywa maji, usiku, asubuhi au mchana na unawashwa unapomalizia kukojoa tone la mwisho na je ni maumivu makali au ya kawaida? Hii inaelekea una dalili za prostate cancer! na je umri wako ni kiasi gani?
Mfunyukuzi!! Usimtishe mwenzio,ushauri uliompa ni mzuri akinywa sana maji anaweza pia kukojoa sana,na hivyo kuiflash njia ya mkojo kitu ambacho kinaweza kumsaidia pia,lakini,bado hajafikia kuwaza urologist kwani yawezekana ni UTI ambayo can be solved kwa gharama ndogo tena bila hata delay ya appointment kwa urologist. Prostate cancer ni abit complicated,age,normaly above 50 with few exceptions below that age,kuna urine retention pia kama one of the signs na tabu nyingi tu.Akapime mkojo ajue kuna nini
wadau nina hili tatizo la kuwashwa njia ya mkojo. Pia wakati wa kukojoa nina maumivu wakati fulani. Nielekezeni kwa urologist mzuri tafadhali
POLE SANA......! (nami nime-edit ili kuondoa hoja ya mwanzo....editing hii si nzuri kwani inamfanya mchangiaji aonekane juha)
mkuu zaidi ni mwasho nyakati fulani. Pia mkojo huuma kwa mbali nyakati fulani pia. Mfano muda huu shwaari. Pia tone la mwisho halina athari yoyote. Umri ni earl 30s.Hebu eleza kwa kina una washwa wakati gani baada ya kunywa maji, usiku, asubuhi au mchana na unawashwa unapomalizia kukojoa tone la mwisho na je ni maumivu makali au ya kawaida? Hii inaelekea una dalili za prostate cancer! na je umri wako ni kiasi gani?
Asiogope sana kwani Prostate Cancer inatibika na hata huo muwasho unatibika pia. Nashauri atutumie food supplement aina ya Omega 3, Nature Min na juice ya Aloe vera aina ya Berry Necta. Kwa msaada zaidi waliana nami byongje@gmail.com