Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,316
- 677
ndio maana yake, pole umerudi lini?:laugh::laugh::laugh: nimeipenda,unawaacha na tamaa zao,kitu locked....l.o.l
wa mvue ili iwaje wakati umeshaambiwa tz bila ngoma inawezekana uzuri ni kwamba ndani ya box kuna kila huduma haja kubwa ndogo, hata saloon pia imohilo box ni la chuma au?....na ufunguo anaushika nani? kwa sababu huyo mdada jinsi alivyovaa tu nina wasiwasi kama itakuwa ngumu kumvua hilo box
ndio maana yake, pole umerudi lini?
asante sana,nimerudi jumamosi saa mbili asubuhi.......:coffee:
Nilikuona jana kwa mbaaali, karibu sana tupate gahawa na kishata :coffee:
welcome back. vip nikuwekee order ya hiyo box?asante sana,nimerudi jumamosi saa mbili asubuhi.......:coffee:
nani akushikie funguo inatunzwa kwenye nyumba za ibada, kuichukua mpk chet chwa ndoa ndoa tena mkishafungishwa ndio mwapewaDuu hii kali, sasa ufunguo anashikiwa?
sio unajidai kushangaa hebu jitahidi upate la kwako mapema
welcome back. vip nikuwekee order ya hiyo box?
Hata mimi ninalo funguo anazo wife na lake funguo ninazo mie