Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
usipoteze muda wako..ongea kwanza na mdogo wako m'bane kama kweli sio mfuasi wa hio michezo..ukijua kweli kama kabakwa wewe usihangaike na sheria za kibongo, we mwendee huyo mbakaji Bagamoyo au kule kwa akina Pinda.. au waone wataalam wa popobawa. Dawa ndio hiyo, hakuna nyingine.angekuwa ke nisingesema maana ni kawaida mkuu ila me?? no way hata mimi hili nalo nawasi wasi nalo nahisi alikuwa ameshaona hivi vitendo mwanzoni kwanini hakuniambia mapema? ila kufikia hatua ya kuniambia inawezekana amejisikia vibaya na hakukubaliana na uchafu huo. sasa mkuu nitamsubiri je tatizo kwenye vyombo vyetu ambavyo haviaminiki ni chombo gani stahiki hapo ndipo kwenye utata??