True seeker
Member
- Sep 28, 2011
- 34
- 29
habari zenu wana jf? naombeni radhi kwa kutopanda jukwaani muda mrefu xo nimerudi na vitu vyenye msing nilkuwa nchin BOTSWANA nikimalizia masomo so iko hv kwa bodi husika inayo shughulikia utoaji wa mikopo utoa mikopo kwa kila kozi kwa % zote na kwa muda maalumu bila kupitiliza huo muda na kama ikitokea basi taarifa hutoka mapema sana sasa napata mshangao kuyaona haya ya heslb TZ na wanfunzi wasijua la kufanya. NJIA SAHIH YA KUPATA PESA ZENU KUTOKA HESLB NI maandamano mkishinikiza bodi husika ifanyiwe mabadiliko katika utawala au itoe tamko rasmi ni lini bodi itatoa mikopo hiyo ili watoto wa wakulima wajue hatima yao maana vyuo vimeshaanza kufunguliwa.asanteni.....!
kwa ushauli zaidi jinsi ya kuoganiz maandamano piga 0659631881
kwa ushauli zaidi jinsi ya kuoganiz maandamano piga 0659631881