Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Jamani hiyo dawa sidhani kama itafanya kazi kwa panya waliopo nyumbani kwangu.
Nimeshawapa kila aina ya sumu lakini hawafi.
imefikia kipindi wananacheza hadi miguuni kwa wageni wangu tena bila uoga.
Wale panya ni kama watu aisee. sometimes huwa wanatembea kwa miguu miwili kama binadamu yaani.
Nimeshawapa kila aina ya sumu lakini hawafi.
imefikia kipindi wananacheza hadi miguuni kwa wageni wangu tena bila uoga.
Wale panya ni kama watu aisee. sometimes huwa wanatembea kwa miguu miwili kama binadamu yaani.