Kireka1980
JF-Expert Member
- Mar 18, 2008
- 302
- 43
Nadhani karibu wote mlishakumbwa na kero za panya na wengine bado mnasumbuliwa na hawa viumbe, mimi nilisumbuliwa sana lakini nilitumia hii mbinu na ndani ya siku mbili panya imekuwa historia, fanya yafuatayo;
- Nunua sumu ya panya ile ya rangi ya pink (mwambie muuzaji ni ya kukausha) ipo kama tambi inapatikana kwa wauzaji kirahisi sana (Tzs 1000 kama sikosei)
- Chukua samaki uwakaushe kwa mafuta hadi wakauke kiwango cha kuweza kusagika ila wasiungue, kisha wasage.
-Sumu ifunge kwenye gazeti na uisage kwa kutumia chupa au vyovyote.
-Changanya sumu na samaki kisha weka kwenye kipande cha box kama sehemu mbili au tatu kutegemeana na ukubwa wa nyumba.
ANGALIZO: hakikisha panya hawawi na access ya maji kwa usiku wote.
Hapo hawachomoki.... hakuna cha panya wa dar wala nini hapo.......
- Nunua sumu ya panya ile ya rangi ya pink (mwambie muuzaji ni ya kukausha) ipo kama tambi inapatikana kwa wauzaji kirahisi sana (Tzs 1000 kama sikosei)
- Chukua samaki uwakaushe kwa mafuta hadi wakauke kiwango cha kuweza kusagika ila wasiungue, kisha wasage.
-Sumu ifunge kwenye gazeti na uisage kwa kutumia chupa au vyovyote.
-Changanya sumu na samaki kisha weka kwenye kipande cha box kama sehemu mbili au tatu kutegemeana na ukubwa wa nyumba.
ANGALIZO: hakikisha panya hawawi na access ya maji kwa usiku wote.
Hapo hawachomoki.... hakuna cha panya wa dar wala nini hapo.......