Njia rahisi ya kuangalia on-line TV channels kwenye PC

Hii Kitu nipo tight Job leo siwezi kutoka ila nimeweza tizama Mechi ya AFC Bournemouth 0 - 0 Tottenham Hotspur Asanten sana kwa Kuja Mabdro inakula sana MB Ukiitumia
 
Salaam wana JF.

Leo nimeamua ku share nanyi njia nyingine rahisi sana ya kuangalia channels mbali mbali za TV kupitia vlc-player ya computer yako ukiwa na internet. Njia hii inatumia low bandwith na unaweza ku stream HD tv hata kwa net ya 256kbs. Kwa leo nitaanza kwa kuwawekeeni channels 4 tuu.

Chakufanya:
1. Install vlc media player kwenye pc yako au kama tayari unayo, hakuna haja.
2. Download magnetic codes line niliyoiweka kwenye attachment na u save kwenye pc yako. Kisha right-click uifungue kwa kutumia VLC.
Hapo utaweza kutizama hizo channels nne bila kupitia njia complicated.

Mchana mwema.
Nashukuru mkuu, mimi naona channel 4 tu hapa sijui ndo hizo. Mimi ugonjwa wangu ni Premier League saidia mkuu
 
Nashukuru mkuu, mimi naona channel 4 tu hapa sijui ndo hizo. Mimi ugonjwa wangu ni Premier League saidia mkuu
Fuatisha uzi vizuri link za SKYSPORT zishawekwa na mdau tayari me nishatizama game za leo ikiwemo ya wachovu arsenal wametoka nunge...
 
Ndio kitu gani tena hicho kinaitwa Nje ya Nchi... kinauzwa wapi?

Nje mambo ya bure bure ukinaswa fine ni kubwa mno... humu panawafaa wapenda dezo
hahaha siko tanzania ila nataka kujua kama hiyo inawezekana pia
 
file la sky sports 1 linagoma kufunguka, lina display error ukishafungua kwentw vlc. kama file jingine llitapatikana ntashukuru, ili game ya Chelsea na man utd tusiikose
 
Sky Sports zipo nyingi. Kuna
Sky Sports 1,
Sky Sports 2,
Sky Sports 3,
Sky Sports 4,
Sky Sports 5,
Sky Sports F1 na
Sky Sports News HQ

Mimi siyo mpenzi sana wa soccer hivyo sizijui kiundani channels za EPL. Ila ngoja niikupe moja ambayo nili edit jana. Sky Sports 1
mkuu, file la sky sport 1 linafunguka lakini linasema error, ntashukuru kama utanisaidia file jingine la sky sports 1.
asante sana
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom