Me370
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 985
- 293
Naombeni Ushauri Wenu
Kuna ka sister kamoja nimekuwa nikikafukuzia muda kiasi. Tatizo linakuja kila nikikatokea kanasema hapana ila Body language yake inasema tofauti. Ni kawaida kwa mwanamke kufanya hivi? Mfano Tukiwa pamoja mara anishike mkono, mara anani Hug na kama tumetoka out night ndo utachoka ukituangalia ninavyocheza nae utadhani nimekula long T yaani huwezi amini anakataa. Kama jana (Sunday) kaja kunitembelea Home niko peke yangu hapa ninapokaa (single).
Kapika tukala akaangalia movie akasema amechoka anapumzika akaenda kwenye ghetto langu akajilaza pale. Kama kawaida ya mwanaume nkamfuata tukapumzike wote. nlipoanza tu usumbufu akanyanyuka katoka hadi sebuleni. Ilikuwa mchana Nkaona niendelee kutafuta usingizi nsimfuate.
Baada ya kama saa Nasikia sauti kaweka picha ya kikubwa sebuleni sauti kubwa anaangalia. This time nikajua nina win nkaamka na nlikuwa nshaanza kusinzia kwenda sebuleni naanza usumbufu kama kawa kavaa viatu akaaga kaenda. Nshajaribu kila njia ya kuongea jibu hapana, Hela pia hajawahi kuomba nime mu offer amekataa. Nisaidieni nakosea wapi?
Leo asubui kamenipitia kanishauri niache kimeo changu home na kunipa lift hadi job alafu ninavyoshuka nimepewa goodbye Kiss ambayo mimi naweza sema ilikuwa kama vile ni tounge kiss kabisa. Nimempigia simu kuhusu plan ya baadae kasema NO as always we are just friends.
To be honest this has been going on for seven months now. Ni kawaida kwa mwanamke ku behave this way? au maana the way i know ni kuwa kama hataki anamaanisha hataki. Niache? Tatizo lipo wapi? She is single ninavyojua mimi
Kuna ka sister kamoja nimekuwa nikikafukuzia muda kiasi. Tatizo linakuja kila nikikatokea kanasema hapana ila Body language yake inasema tofauti. Ni kawaida kwa mwanamke kufanya hivi? Mfano Tukiwa pamoja mara anishike mkono, mara anani Hug na kama tumetoka out night ndo utachoka ukituangalia ninavyocheza nae utadhani nimekula long T yaani huwezi amini anakataa. Kama jana (Sunday) kaja kunitembelea Home niko peke yangu hapa ninapokaa (single).
Kapika tukala akaangalia movie akasema amechoka anapumzika akaenda kwenye ghetto langu akajilaza pale. Kama kawaida ya mwanaume nkamfuata tukapumzike wote. nlipoanza tu usumbufu akanyanyuka katoka hadi sebuleni. Ilikuwa mchana Nkaona niendelee kutafuta usingizi nsimfuate.
Baada ya kama saa Nasikia sauti kaweka picha ya kikubwa sebuleni sauti kubwa anaangalia. This time nikajua nina win nkaamka na nlikuwa nshaanza kusinzia kwenda sebuleni naanza usumbufu kama kawa kavaa viatu akaaga kaenda. Nshajaribu kila njia ya kuongea jibu hapana, Hela pia hajawahi kuomba nime mu offer amekataa. Nisaidieni nakosea wapi?
Leo asubui kamenipitia kanishauri niache kimeo changu home na kunipa lift hadi job alafu ninavyoshuka nimepewa goodbye Kiss ambayo mimi naweza sema ilikuwa kama vile ni tounge kiss kabisa. Nimempigia simu kuhusu plan ya baadae kasema NO as always we are just friends.
To be honest this has been going on for seven months now. Ni kawaida kwa mwanamke ku behave this way? au maana the way i know ni kuwa kama hataki anamaanisha hataki. Niache? Tatizo lipo wapi? She is single ninavyojua mimi