Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Nikawa najiuliza. Itokee watu walio kwenye foleni waambiwe "Samahani wapendwa katika Kristu, Mchungaji Ambilikile leo hajisikii vizuri, pressure yake na sukari imepanda hivyo kapelekwa KCMC kwa matibabu. Msihofu atarudi jioni maana tumewasiliana anaendelea vizuri".
Unafikiri watu watalipokeaje tamko hilo? Je wagonjwa wataendelea kusubiri kwenye foleni mpaka arudi?
Unafikiri watu watalipokeaje tamko hilo? Je wagonjwa wataendelea kusubiri kwenye foleni mpaka arudi?