Njia na Mkakati Rahisi Zaidi Ili Kufuta Umasikini Tanzania

SolarPower

JF-Expert Member
Jan 17, 2011
223
27
Watanzania,

Naomba kama Taifa na katika ngazi za familia zetu, Vijiji na Vitongoji, Kata, Tarafa, Wilaya, Mkoa na Taifa tuwekeze sana katika VITABU ambavyo vinatupa ujuzi, Maarifa Zaidi na mbinu mbalimbali za uzalishaji mali na mbinu bora zaidi za kuboresha maisha yetu. Pendekezo langu ni kuwa kila familia iwekeze na kununua angalau kitabu kimoja cha namna hiyo kila mwezi na kukisoma kwa ukamilifu wake. Na pia serikali iwe na bajeti maalum ya kununua vitabu vya namna hiyo ka ajili ya watu wa nchini. Bajeti hii ya serikali kwa mwaka inapendekezwa isipungue shilingi bilioni 75 kila mwaka.
 
Back
Top Bottom