leo asubuhi njia zote zinazopita karibu na ikulu zimefungwa ikiwamo ile ya kupitia ocean road cancer institute, kupitia nyuma ya ikulu, pia parking zote karibu na ikulu ikiwamo chuo cha utumishi magogoni zimefungwa
tunaambiwa ni mikakati mpya ya kulinda ikulu
please be informed
wananchi wengi wanalalamikia kitendo hiki ambacho ni cha kwanza tangu uhuru
huenda kuna jambo limenuswa, wengine wenye data watupe tafadhali
tunaambiwa ni mikakati mpya ya kulinda ikulu
please be informed
wananchi wengi wanalalamikia kitendo hiki ambacho ni cha kwanza tangu uhuru
huenda kuna jambo limenuswa, wengine wenye data watupe tafadhali