Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Kuna mdau ametoa mapendekezo, ili mabomu yawe katika hali ya usalama zaidi ni bora kuhamishia ghala kuu la silaha pale kwenye viwanja vya ikulu, hapa ulinzi na utunzaji wa silaha utakuwa ni wa hali ya juu.
Wadau toeni ushauri zaidi juu ya utekelezaji wa suala hili.
Nawasilisha...
Wadau toeni ushauri zaidi juu ya utekelezaji wa suala hili.
Nawasilisha...