Nji hii..umasikini wa kujitakia?

Duuh! My memory is still sharp I guess. In general mkoa wa Iringa pamoja na kulima mazao mengi ya biashara,watu wengi wako hoi kwa umaskini. Huwezi fananisha na wale tunaowaona mkoa wa Njombe na Mbeya. Kidogo Mafinga sababu ya biashara ya mbao kuna ahueni kidogo....and yet huu mkoa umetoa wasomi wengi sana maana ulikuwa na shule nyingi za wamissionary.
Mkuu Iringa ni moja ya sehemu nzuri sana kwa kilimo. Bahati mbaya wakazi wake wenye sifa lukuki bado wako nyuma sana na inanisikitisha ninapopita sehemu hizi hakuna mabadiliko, Mch Msigwa sijui yuko wapi.
 
Mkuu Iringa ni moja ya sehemu nzuri sana kwa kilimo. Bahati mbaya wakazi wake wenye sifa lukuki bado wako nyuma sana na inanisikitisha ninapopita sehemu hizi hakuna mabadiliko, Mch Msigwa sijui yuko wapi.

Ile mito wanyalu bado wanaitumia kama Mkwawa chief wao alivyotumia...kujitumbukiza kwenye maji ya kina kirefu ili wasahau yote...ndimugaya sida nene...na valonge, swela! teh teh teh
 
Ile mito wanyalu bado wanaitumia kama Mkwawa chief wao alivyotumia...kujitumbukiza kwenye maji ya kina kirefu ili wasahau yote...ndimugaya sida nene...na valonge, swela! teh teh teh

Ha ha ha
Mimi nina mke mnyalu, very beutiful na ni kizazi cha mwenyewe Chief Mkwawa , wako very commited na straight forward.
Kwahilo nawapenda sana, ila maendeleo mmmmh....
 
Ha ha ha
Mimi nina mke mnyalu, very beutiful na ni kizazi cha mwenyewe Chief Mkwawa , wako very commited na straight forward.
Kwahilo nawapenda sana, ila maendeleo mmmmh....

Hongera sana mkuu...wale wanapenda sana kazi za mikono
 
Nina uhakika hapo ni njia ya kutoka Dodoma kwenda Manyoni ni kijiji kilicho wilya ya Bahi.
 
Back
Top Bottom