Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
- Thread starter
- #101
Usishangae sana mkuu haya yapo sana
Unajua sababu nini? Hawa mabaamedi wana vitu adimu sana kaka uwanja wa Kaitaba kuliko wake zetu au mademu zetu ambao wame-relax. Wee acha kabisa haya mambo hayana kushangaa bosi ni ya kawaida sana ila ya kuepuka pale inapobidi
Vitu adimu vipi ambavyo mashosti wengine hawana? Ahaaa, nimekupata mkuu.... kwenye kaitaba siyo? Lakini hata kama wake zetu wangekuwa navyo, kuna ile kitu ya kubadili mboga bana, au unasemaje? Mechi za majaribio muhimu ati.