Njemba moja hiyo alikamatwa siku kadhaa zilizopita alikua ana kiwanda cha kutengeneza silaa za moto aina ya gobole ambazo baadhi alizotengeneza zilishatumika kwenye ujambazi sehemu kadha wa kadha...
Mhusika wa aina hii anapokamatwa ndio kinyume cha sheria lakini je kwa mfano angeendelezwa kwa fani aliyonayo kuna ubaya?
Mhusika wa aina hii anapokamatwa ndio kinyume cha sheria lakini je kwa mfano angeendelezwa kwa fani aliyonayo kuna ubaya?