The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,502
- 2,046
Kabla hajaja CHADEMA sikuwa namfahamu kiundani kwani ni mtu ambae mara nyingi hakupenda kuongea mengi nadhani ilikua defence mechanism kwani alijijua udhaifu wake hivyo akaamua kuuficha kwa kunyamaza.
Ila wenzie waliokua nae huku CCM walilijua mapema hilo ila walikua wakiogopa sana kumkabili kwa hofu ya mtandao mkubwa aliokua nao. Ni dhahiri kuwa sioni mchango wowote wa maana atakaotoa kwa siasa za CHADEMA na upinzani.
Kama kuna kitu kikubwa atakachochangia ni kuudumaza upinzani hasa pale anapokua mungu mtu ndani ya chama huku akiwa hana impact yoyote.
Ila wenzie waliokua nae huku CCM walilijua mapema hilo ila walikua wakiogopa sana kumkabili kwa hofu ya mtandao mkubwa aliokua nao. Ni dhahiri kuwa sioni mchango wowote wa maana atakaotoa kwa siasa za CHADEMA na upinzani.
Kama kuna kitu kikubwa atakachochangia ni kuudumaza upinzani hasa pale anapokua mungu mtu ndani ya chama huku akiwa hana impact yoyote.