Nje ndani za Chuo Kikuu cha Dodoma

Kwa Viongozi wa aina ya Kina Ngeleja, sidhani kama tutakombolewa. Nchi zenye utajiri wa mafuta na gesi zimeishia kupigana vita. Mimi sina imani kabisa na hiyo gesi. Kama hatutapata kiongozi mzuri, ndo basi tena.

Mawaziri hata ukiwalaumu ni bure tu, wapo zaidi kisiasa. Watendaji ndiyo wakubebeshwa lawama, kuanzia Katibu Mkuu kuja chini. Waziri hawezi kufanya madudu ya ubadhirifu bila idhini ya au kumhusisha Katibu Mkuu na wahasibu wa wizara au idara husika- Kumbuka hilo.
 
My God, deni la taifa lisikutie wasiwasi!!! Are you serious or you're joking? Let me give you example ya athari ya deni later taifa linapozidi mwenye uchumi.

Mfano madeni yanayohusiana na ujenzi wa barabara ni billion 890 na kias kilichotengwa kwa tanroad kwa ajili ya miradi ya maendeleo ni around billion 830, do you understand the implications of this??
 
Tens if not hundreds of contractors will go unpaid this year, some taken loans from banks, some will experience natural death anyway rendering thousands unemployed.

Good contractors will no longer take government projects matokeo yake wataachiwa wababaishaji na barabara zetu za wiki mbili imebomoka.... deni la Taifa likizidi several folds of national GDP is real harmful.
 
Mawaziri hata ukiwalaumu ni bure tu, wapo zaidi kisiasa. Watendaji ndiyo wakubebeshwa lawama, kuanzia Katibu Mkuu kuja chini. Waziri hawezi kufanya madudu ya ubadhirifu bila idhini ya au kumhusisha Katibu Mkuu na wahasibu wa wizara au idara husika- Kumbuka hilo.
Simlaumu Ngeleja kwa uwaziri, ila nashangaa eti naye anataka Urais, hivi Ikulu imekuwa cheap kiasi hiki. Mtu umekuwa Mbunge for 4+ years eti na wewe unataka Urais. We need someone special.
 
Simlaumu Ngeleja kwa uwaziri, ila nashangaa eti naye anataka Urais, hivi Ikulu imekuwa cheap kiasi hiki. Mtu umekuwa Mbunge for 4+ years eti na wewe unataka Urais. We need someone special.

Kwani baada ya Nyerere kuna raisi mwingine aliyetokea mwenye utimamu kweli ?
 
hiki CHUO CHA KATA ni moja ya vyuo vya ovyo kabisa kupata kuwepo hapa nchini.
 
Nashangaa chuo kikubwa kama UDOM kinakodi lecturers kutoka CUHAS-BUGANDO, kweli serikali iko serious? watakodi mpaka lini? Wameleta wengine kutoka Russia wanasoma notsi tu badala ya kufundisha. Serikali imejipangaje kusomesha new lecturers? Wanafunzi wa medicine,engineering wana qualifications nzuri tu ,tatizo management.
 
Maendeleo ni process ya kutatua matatizo na changamoto. Hakukuwa na chuo, hatua ya kwanza kimejengwa chuo then kutatua changamoto zinazokikabili ni hatua nyingine!!! If you'll fail to praise even the little you then you'll never praise even if you'll get what you dream to get.
 
Nasikia Mwigulu akisema anamshukuru Kikwete kwa uamuzi aliochukua kuhusu UDOM. Mimi nalidhani UDOM ilianza enzi za Mkapa na sio Kikwete. They are trying to justify 'Deni la taifa'. I think CCM is a living hell.

​Originally...lilikuwa ni wazo la CHADEMA likilenga kuachana na uongo wa CCM wa kudanganya kuwa Dodoma ni au itakuwa Makao Makuu ya nchi, badala yake CHADEMA wakaangalia position na potentiality ya Dodoma waona inafaa kuwa Academic City/Centre hali ambayo ingeusaidia mkoa huo kiuchumi, kisiasa na kijamii.

Wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2005, akiwa Dodoma, mgombea urais wa CHADEMA Freeman Mbowe akatoa kauli kulingana ilani ya chama kuwa Dodoma itakuwa Academic Centre.

Mzee Kingunge aliwahi kukiri jambo hili wakati wa mkutano mkuu wa CCM.
 
​Originally...lilikuwa ni wazo la CHADEMA likilenga kuachana na uongo wa CCM wa kudanganya kuwa Dodoma ni au itakuwa Makao Makuu ya nchi, badala yake CHADEMA wakaangalia position na potentiality ya Dodoma waona inafaa kuwa Academic City/Centre hali ambayo ingeusaidia mkoa huo kiuchumi, kisiasa na kijamii.

Wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2005, akiwa Dodoma, mgombea urais wa CHADEMA Freeman Mbowe akatoa kauli kulingana ilani ya chama kuwa Dodoma itakuwa Academic Centre.

Mzee Kingunge aliwahi kukiri jambo hili wakati wa mkutano mkuu wa CCM.
And this is a new one. I like it.
 
​Originally...lilikuwa ni wazo la CHADEMA likilenga kuachana na uongo wa CCM wa kudanganya kuwa Dodoma ni au itakuwa Makao Makuu ya nchi, badala yake CHADEMA wakaangalia position na potentiality ya Dodoma waona inafaa kuwa Academic City/Centre hali ambayo ingeusaidia mkoa huo kiuchumi, kisiasa na kijamii.

Wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2005, akiwa Dodoma, mgombea urais wa CHADEMA Freeman Mbowe akatoa kauli kulingana ilani ya chama kuwa Dodoma itakuwa Academic Centre.

Mzee Kingunge aliwahi kukiri jambo hili wakati wa mkutano mkuu wa CCM.

Good news... my dear itakuwa vema zaidi tukiongea kama wasomi na siasa tukawaachia wsnasiasa.. put data like quotations ya hiyo ilani tukichangia tuchangie kama wasomi na sio kwa kutumia mihemuko ya kisiasa. Thank you.
 
Deni la Taifa lisikutie wasiwasi, utajiri tulio nao sasa na anaotuwachia Kikwete tunaweza tukakopa hata mara 1,000 ya deni tulilonalo sasa hivi na tusitetereke, mpaka sasa tuna cubic feet trillion 55 zilizovumbuliwa za Gas na utafiti unaendelea - Kumbuka hilo.

akili zenu zipo sawa tu na unayemtetea.
sisi tunawaza kuwa na nguvu ya kujitegemea kwa pato la ndani ya nchi yetu wewe ubawaza kuendelea kukopa mpaka tuwe hatukopesheki!!!
khaaa!!!
kwa hiyo mikataba inayosainiwa ya 3%itatusaidia nini?
 
Back
Top Bottom