au VOTE 4 CHADEMA........V4C = Victory For CHADEMA.
Mungu atawalipa stahiki awanayohitaji, njaa mbaya sana, wao CUF walifanyiwa mengi mabaya lakini CDM haikuwa kuiunga mkono serikali na CDM wamewaunga mkono sana CUF katika chaguzi mbalimbali tangu 1995, mpaka mwaka 2005 walipoamua kujitegemea baada ya kuona CUF hawako tayari kuwaunga mkono CDM...
CUF Wanajiua wenyewe kwakupambana na CDM badala ya kupambana na watawala wa CCM. Lakini yanamwisho na mwisho Watajulikana tu na mipango yao michafu ya kutumika.
Kijana niseme kama umekurupuka. Wengi wa wenu wana cdm mumekuwa mukisema kwamba ccm na cuf wana ndoa moja. Nataka mutoe ushahidi wenu. Je? Ni wazir gani au naibu waziri au nafasi gani ya uongozi katik SMT aliyetoka cuf.