washwa washwa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 1,613
- 717
| ||
|
| ||
|
Wataondoka tu
CCM ni chama cha mauaji,kimepoteza uelekeo,mwisho wao umefika.
Hiyo ni mbinu ya kuwatisha wananchi.robert Mugabe alitumia mbinu hiyo kule Zimbabwe hadi Morgan Tsavangirai akasusia duru ya pili ya uchaguzi kwa kuwa kila mkutano wananchi walikuwa wakiuwaawa na kuteswa.Hapa haturudi nyuma
Nilishangaa watu wengine wanakurupuka na kutoa maneno ya kufuta chama cha siasa bila kufikiria mwenendo wa vyombo vya diola katika kukwaza demokrasia.Kama watajaribu kufuta usajili wa CHADEMA kwa hila yoyote watakiona cha moto.Hawa makamnda wote watapelekwa wapi?Hatutavua kombati ....Tutaenda mbele zaidi,extreme measures!
Story za kutunga. Kuuana wanasisa upinzani umepitwa na wakati na kamwe sio awamu ya JMK.
Some people are alive ONLY because it's illegal to kill them!