Prodigal Son
JF-Expert Member
- Dec 9, 2009
- 1,067
- 700
Sasa mbona mwanzo umesema kwamba Wakristo wa Sudan wanaonewa. Sasa unaona unaleta double standard. One side unasema bora wajitenge, and the other side unasema watu wa kusini mmekalia ardhi. Double Stardand.
Wewe naona hujui unenalo,,,,,,,,naona bado umelewa dini,,,,pole saana,,,,,,,,,ANGALIA KWENYE POST YANGU YA KWANZA,,,,,,,NILICHOKIJIBU NI MALALAMIKO YAKO KWAMBA NYERERE ALIONEA MIKOA YA KUSINI NA kati ya upupu wote ulioandika mie nime quote paragraphy ambayo uliandika hivyo,,,kama mawazo yako na akili zako zinashirikiana vizuri ukisoma utaelewa sikuzungumzia jambo lolote linalohusu Sudan kwenye hiyo post,,,