Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #81
DsL, Kyela kumefurika na mashamba ya mpunga yamesombwa; unafikiri supply itakuwa vile vile ya mchele wa Kyela?
DsL, Kyela kumefurika na mashamba ya mpunga yamesombwa; unafikiri supply itakuwa vile vile ya mchele wa Kyela?
Ndugu zangu, kuna uwezekano mkubwa kwamba itakapofika kiangazi mwaka huu, Taifa letu linaweza kujikuta kwenye upungufu mkubwa wa chakula ambao siyo tu unatishia maisha ya watu wetu bali pia unashusha hadhi na utu wa mwanadamu. Hakuna kitu kinachomdhalilisha mwanadamu na kuweza kumfanya awe mtu kama njaa.
Ni njaa ndiyo inayoweza kumfanya mtu aukane urithi wake wa kwanza kama alivyofanya Esau na ni njaa ambayo ilikuwa inatumika tangu enzi za kale kama silaha ya mwisho ya vita ambayo inalazimisha watu kusalimu amri.
Tanzania tutakabiliwa na njaa ambayo chanzo chake si ukame. Mara nyingi (kama siyo zote) njaa husababishwa na ukame na vita. Hata hivyo njaa ambayo naweza kuiangalia toka mbali na inayosogelea kama simba anyatiaye haitokani na mambo hayo bali makubwa mawili.
a. Kupanda kwa bei ya chakula duniani.
Habari za leo ni kuwa bei ya chakula duniani imepanda kwa haraka kuliko wakati wowote ule na hivyo kusababisha ugumu wa kupatikana kwa chakula. Yaliyotokea Haiti na Misri siku chache zilizopita ni dalili ya ubaya wa hali hiyo. Kwa wale walioko Dar au maeneo yenye masoko ya kudumu na kwenye mialo mbalimbali kanda ya ziwa wanaweza kutusaidia kutuambia kama kumeanza kutokea mabadiliko yanayoonekana ya bei ya chakula siku hizi chache zilizopita.
b. Mvua ya masika.
Hata hivyo naamini kwa upande wa Tanzania kitakachosababisha njaa sana ni hii mvua ambayo imeharibu mashamba na mazao ya watu kiasi kwamba baadhi ya maeneo ambayo kwa kawaida yana chakula cha kutosha yanaweza kujikuta yanahamia mwaka huu. Kama mpunga wa Kyela utakuwa umeathirika kama Dr. Mwakyembe alivyosema kwenye mahojiano yake nami kuna uwezekano kuwa Mwaka huu bei ya Mchele nayo itapanda na hivyo kufanya nafaka hiyo ianze kuwa adimu na kupatikana kwa wachache.
Maeneo ambayo mchele ndiyo chakula kikuu na pia zao la biashara watajikuta wanakabiliwa na upungufu wa fedha za kununulia hata vitu vingine na hivyo kusubiri chakula cha misaada.
Kwa vile tunajua haya yote na ziada; tufanye nini ili tujiandae na njaa ijayo?
On a serious note, do you have enough data to support your conclusion? Sidhani kama Mbeya kukiwa na mafuriko ndio nchi nzima itakuwa na njaa? Tunaweza kuwa na upungufu lakini ni muhimu kulifuatilia hili ili kufahamu situation ya chakula nchi nzima.
Dua,
Kila mtu anakwambia mvua zimezidi na kuharibu mbegu. Kilimanjaro Arusha wanalia mahindi yalianza chipua mvua imekuwa nyingi mno, wasi wasi wa mavuno ni mkubwa.
Sasa kama wakulima wanatoa wasiwasi ikiwa wao ndio wazalishaji, unataka tusubiri hotuba ya Mwezi wa Sita kutuambia hali ni ngumu?
On a serious note, do you have enough data to support your conclusion? Sidhani kama Mbeya kukiwa na mafuriko ndio nchi nzima itakuwa na njaa? Tunaweza kuwa na upungufu lakini ni muhimu kulifuatilia hili ili kufahamu situation ya chakula nchi nzima.
Source link: http://www.thestandard.com.hk/news_print.asp?art_id=65027&sid=18652099
Rice prices soar as scarcity fears reach US
Rice prices in Thailand, the world's top exporter, surged to US$1,000 (HK$7,800) a tonne yesterday as concerns about food security first triggered by a handful of Asian export bans spread as far as the United States.
[FONT=Verdana,Arial,Helvetica,sans-serif]Friday, April 25, 2008
Rice prices in Thailand, the world's top exporter, surged to US$1,000 (HK$7,800) a tonne yesterday as concerns about food security first triggered by a handful of Asian export bans spread as far as the United States.
This week's 5 percent jump takes prices to nearly three times their level at the start of the year, intensifying fears of social unrest in Asia as millions of the region's poor find themselves struggling to pay for staple goods.
The surging price of fuel and food, which some analysts attribute to panic buying by both consumers and governments rather than a dire shortage of supply, has so far sparked riots in Africa and Haiti, but not Asia.
Having started with India's imposition of export curbs to protect domestic supplies last year, Brazil became the latest country on Wednesday to suspend rice exports. The crisis was also felt in the United States this week.
Sam's Club, a unit of retail giant Wal-Mart, said on Wednesday it was capping sales of nine-kilogram bulk bags of rice at four bags per customer per visit to prevent hoarding.
The previous day, rival Costco Wholesale said it had seen increased demand for items such as rice and flour as customers, worried about global food shortages, stocked up.
"Everywhere you see, there is some story about food shortages and hoarding and tightness of supplies," said Neauman Coleman, an analyst and rice broker in Brinkley, Arkansas.
In Bangkok, some traders said Thai 100-percent B grade white rice, the world's benchmark, could hit US$1,300 a tonne due to unstated demand from number one importer the Philippines, which fell well short of filling a 500,000 tonne tender last week.
Manila said yesterday it had raised the size of another tender on May 5 to 675,000 tonnes from 500,000 tonnes.
There is also a big question mark over Iran and Indonesia, two countries that normally buy as much as one million tonnes of Thai rice each year but which have bought nothing this year.
Indonesia's trade minister said yesterday her country can meet domestic demand for rice this year, thanks to a bumper rice harvest, exports curbs and subsidies.
REUTERS
[/FONT]
Latest reports on shortage of Rice. Shocks as export ban is being considered....
Source link: http://www.thestandard.com.hk/news_print.asp?art_id=65027&sid=18652099
SteveD.
Tanzania bara tumejaliwa viongozi wazuri, ardhi yenye rutuba, amani na utulivu, mshikamano na umoja.. ndio maana hatuhitaji kujiandaa kwa mambo haya. Mungu atatusaidia tusiwe na wasiwasi.