Acha Uvivu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 525
- 131
Bei ya nafaka imepanda zaidi huko Marekani kuwahi kutokea baada ya kipindi cha miaka 15. Mahindi, ngano, soya vyakauka kwa kukosa mvua na joto kali.
Ban ki Moon na Rais wa benki ya dunia wakutana kwa dharura kujadili baa la njaa linaloweza kutokea, hasa kwa nchi masikini.
Source: presstv
Ban ki Moon na Rais wa benki ya dunia wakutana kwa dharura kujadili baa la njaa linaloweza kutokea, hasa kwa nchi masikini.
Source: presstv