Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Ucjal mkuu hapo lazima mtoto akupe mambo!Hahaha! Umeua mkuu na ukizingatia Nemo kama anataka kukubali lol!
Ucjal mkuu hapo lazima mtoto akupe mambo!Hahaha! Umeua mkuu na ukizingatia Nemo kama anataka kukubali lol!
Hivi jamani ni kwa nini Mabinti/Wasichana huamini kuwa rafiki wa Kiume ni mtu wa kupigwa Mizinga kwenye kila kitu, kuanzia vocha, simu, mavazi, shida zingine za uongo, n.k? Ni kwa nini ukitoka naye anaagiza vitu vya thamani wakati hajui ulicho nacho mfukoni na wakati huohuo mfukoni anakuwa hana fedha za kutosha anachojigharamia? Utasikia niletee Savannah/Heineken/Miller/Serengeti Ndogo. Niletee Chips na nusu Kuku halafu weka na mayai mawili. Utadhani ndo siku mwisho kula. Hivi hawa watu hawana mawazo ya savings/maendeleo? Wanafikiria leo hapo mezani tu? Na ndo maana jamaa wengi huishia kula mara moja, ya pili ni kwa nadra sana.
Baba Enock, heshima yako nimeishusha, yaani mkeo unamuita vuvuzela!!!!!!!!! khaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!! nilikuwa nasikiaga watu wanasema mitaani sasa hii ni live bila chenga, hebu futa jina hilo harakaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!. Na kumbe una nyumba ndogo eeeeeee, jamani why!!!!!!!!!!!!!
Dawa yao mbona ndogo tu mkuu,
1.Tafuta hotel ya kitalii yenye exit 2
2.Nenda nae kama kawaida
3.Mwache aagize kama kawaida yake,nawewe agiza sana
4.Kuleni/kunyweni ikifika katikati jipigishe simu
5.Nenda kapokee simu huko,ukimaliza chapa lapa ukalale hm
6..............................