"Niwie radhi Mhe..." - Meghji

Development Policy Commission suggests pragmatic steps to improve governance in developing countries

The European Commission has adopted a communication on governance and development, offering a new and more pragmatic approach to what is a critical determinant in states' ability to eradicate poverty and foster sustainable development. Much experience has been gained in this field over the past 10 years, and the Commission believes that the time has now come to take stock and refocus a concept that has come to gain many shapes. With the communication, the Commission offers a more pragmatic approach to supporting governance in developing countries, building on dialogue and capacity building. It insists that there is no "one size fits all" solution. Governance should be analysed and promoted on a country specific basis. However a number of measures are identified which should be applied to promote governance under three different scenarios: (i) effective partnerships; (ii) difficult partnerships; and (iii) post-conflict situations. The road to good governance is not straightforward. Offering pragmatic support to developing countries will require resilience and stamina.

Mr Poul Nielson, Commissioner for Development assistance and Humanitarian Aid, said: "We need to reinvent the notion of governance in its original meaning through a more pragmatic and less formal way of looking at a political system's ability to deliver the basic elements and services that make a society function. Our approach to governance must be characterised by dialogue and capacity building and not by preaching, prescribing or dictating".

Mr Chris Patten, Commissioner responsible for External Relations, said: "The concept of governance is crucial as it goes beyond the notions of human rights, rule of law and democracy, and encompasses efficient administration and the fight against corruption. Ultimately it defines the amount of responsibility that each country has over its own resources and development".

A vast array of instruments are available to promote governance, including humanitarian assistance, support to institutional development, administrative reforms, improvements in public finance management, security systems, promotion of human rights, fostering involvement of civil society and encouraging participatory approaches to public policies. There is however no "one-size-fits" all formula leading to good governance. The analysis of governance - and the mix of instruments chosen to promote it must be made on a country-specific basis. This will involve a process that requires pragmatism and that relies on dialogue and capacity building.

Policy prescriptions should however be approached from different perspectives in different scenarios: The communication makes specific recommendations for three different scenarios:

Effective partnerships

The Commission, like most other donors, targets its support to « good performers » as a means to increase aid effectiveness. In effective partnerships, governments are committed to development objectives, good governance and to the internationally agreed targets. Sometimes capacity is weak but the political will is there. Priorities for action should include continuous and effective dialogue with these countries, strengthening democratic governance, citizens' participation and access to justice, promotion of human rights, strengthening of transparency, accountability and effectiveness of state institutions and improving civil society's capacity to participate in policy-making processes and debates.

Difficult partnerships

While it is understandable that donors concentrate support on the « good performers », it is argued in the communication that donors should not shy away from the more difficult partnerships where there is no commitment to good governance from partner countries. Populations in these particularly vulnerable countries should not be made to pay the price for bad leaders. Isolating the "bad performers" risks leaving them as magnets for extremism and terrorism, with regional spillover effects as a possible consequence. Leaving a country to collapse will inevitably make it more difficult and costly to reengage in the long run. All these elements speak against total withdrawal from these countries. Donors cannot afford to disengage. Instead they must display stamina and explore alternative entry points and approaches to co-operation that are addressing the root cause of the problems. Humanitarian aid, food aid, civil society implemented activities and political initiatives at regional or international level are avenues to be pursued.

Post conflict

Many of the countries characterised as difficult partnerships have recently been involved in armed conflicts. These are often countries where state institutions are either non-existent or non-functioning. These so-called « post-conflict » countries are often prone to a return to conflict. It is estimated that 50 pct of post-conflict countries emerge as « pre-conflict » countries. This is a situation that leaves no room for hesitation among donors. A swift engagement by donors is required to assist the countries in remaining on the right track. Identification and willingness to address root causes of conflict, initiation of reconciliation processes and linking relief, rehabilitation and development are some of the priorities outlined in the communication. Donors must accept that involvement with these post conflict countries involves a risk. But a necessary risk if the cost of re-emerging conflicts is to be avoided.

Support to governance has become a key element in the development assistance tool-box over the past ten years. It is an integrated element of the Commission´s co-operation programmes. It is a concept that comes in many shapes. While there is no clear definition of "governance", the term generally relates to the glue that holds society together: Rules, processes and behaviour by which interests are articulated, resources are managed and power exercised. The quality of governance will therefore often be a measure of a state's ability to deliver the basic services to its citizens necessary to alleviate poverty and foster development.


--------------------------------------------------------------------------------
http://www.europaworld.org/week150/developmentpolicy241003.htm
 
Hapa ni sehemu ya kuwa makini sana.Serikali haipangi bajeti ili waitekeleze kwa manufaa ya watanzania.Wanapanga bajeti ili kuwaridhisha wafadhili kisha wapatiwe misaada.Baada ya hapo wanapanga namna gani ya kuzitafuna.
 
Wana JF,

Mimi ninaamini tunaweza kujitegemea. Tukipunguza matumizi na kununua magari sahihi.

Tukipunguza seminar na warsha na workshop na mikutano etc etc

Tukipunguza kulipana posho kwa kuhudhuria mikutano, Kazi ni yako kwanini ulipwe posho?

Tukipunguza utitiri wa vyeo, Mkuu wa wilaya, mkurugenzi wa wilaya na meya wa halmashauri, na katibu tawala wa wilaya (nisahisheni km nimekosea)

Tukipunguza safari za nje. Tukipunguza kulipana mishahara hewa.

Tukijadiliana vizuri na wawekezaji kuhusu rasilimali za hapa nchini na namna ya kuzi exploit jointly kwa faida ya wananchi na wawekezaji.

Na above all tukiwa na moyo wa kizalendo na FIKRA JUMUIYA ya kuleta maendeleo kwa vizazi vya sasa na vinavyokuja!

Ka upupu wangu huo.

FD, Hizo zote ulizoongea ni nukta tupu. I salute you.
 
Hawa jamaa kweli wana masharti magumu kama alivyosema katibu mkuu wa wizara ya fedha au kilimo.

Sisi tunataka hela tukanunulie mashangingi na kujenga majumba yetu, eti wao wanataka tuwaonyeshe jinsi tulivyomuendeleza mlalahoi na mkulima. Jamani hili sharti mbona gumu sana?

Sisi tunataka tule rushwa ili tuwe na mapesa mengi ya kutanua, eti wao wanataka tuonyeshe jinsi gani tunapigana na rushwa, hawa jamaa masharti yao magumu sana sio siri ndio maana hatuendelei.

;) Vitu vingine bwana vinauma mpaka unataka kucheka tu.
 
Bandugu, tatizo si bajeti ya wafadhili. Tatizo ni sisi wenyewe. Kwa nchi maskini kama tanzania, huhitaji kuwa na bunge lenye wabunge zaidi ya 300. Baraza la mawaziri tanzania ni kubwa zaidi lile la uingereza. Ni kubwa zaidi ya lile ufaransa. Ni kubwa zaidi ya lile la marekani.

Mnaoishi majuu tunawaomba mtusaidie kitu kimoja. Tunawaomba mshinikize nchi za magharibi waweke vikwazo kwa viongozi kutoka afrika kupata matibabu huko majuu. This might sounds inhumane and insane. Lakini, inaweza kuwalazimisha hawa jamaa waweze kutoa vipau mbele kwenye huduma za msingi, na kuweka maslahi yao binafsi kuwa sehemu ya vipau nyuma. Pengine hawa viongozi wetu wa africa wanaweza kujifunza ku-invest katika hospitali zetu hapa.
 
Bandugu, tatizo si bajeti ya wafadhili. Tatizo ni sisi wenyewe. Kwa nchi maskini kama tanzania, huhitaji kuwa na bunge lenye wabunge zaidi ya 300. Baraza la mawaziri tanzania ni kubwa zaidi lile la uingereza. Ni kubwa zaidi ya lile ufaransa. Ni kubwa zaidi ya lile la marekani.

Mnaoishi majuu tunawaomba mtusaidie kitu kimoja. Tunawaomba mshinikize nchi za magharibi waweke vikwazo kwa viongozi kutoka afrika kupata matibabu huko majuu. This might sounds inhumane and insane. Lakini, inaweza kuwalazimisha hawa jamaa waweze kutoa vipau mbele kwenye huduma za msingi, na kuweka maslahi yao binafsi kuwa sehemu ya vipau nyuma. Pengine hawa viongozi wetu wa africa wanaweza kujifunza ku-invest katika hospitali zetu hapa.

Hakuna cha kushinikiza nchi za magharibi wala nini. Dawa ni kuwaondoa mafisadi kutoka madarakani. Tatizo ni sisi wenyewe na dawa ni sisi wenyewe. Inabidi tubadilike. Tuache upole na tuwe wakali. Tusiwe na huruma hata kidogo kwa mafisadi.Tuwe wachapa kazi na si wazembe. Tuamke na tuache kulala. Nawaambia haya yote tunaweza kuwa. Ni kuamua tu.
 
Nawa unga Mkona Wahisani!!Ni kweli Fedha Zao Zina tumiwa hovyo!! sisi ndio tunao omba kwao!!Lakini Tuna fanya Tofauti..Nina washangaa Nyie wote Mnao ona hizi hela ni za wazungu..Bora uwe Msenge Kuliko kua Muongo!!

Kuna Ushahidi..Na hao wanao toa Misaada Sio Mafala kama Nyie Wakuda Mnavyo dhani-
If money makes you fool you will be fool with other things!!
 
Nawa unga Mkona Wahisani!!Ni kweli Fedha Zao Zina tumiwa hovyo!! sisi ndio tunao omba kwao!!Lakini Tuna fanya Tofauti..Nina washangaa Nyie wote Mnao ona hizi hela ni za wazungu..Bora uwe Msenge Kuliko kua Muongo!!

Kuna Ushahidi..Na hao wanao toa Misaada Sio Mafala kama Nyie Wakuda Mnavyo dhani-
If money makes you fool you will be fool with other things!!
 
Hapa ni sehemu ya kuwa makini sana.Serikali haipangi bajeti ili waitekeleze kwa manufaa ya watanzania.Wanapanga bajeti ili kuwaridhisha wafadhili kisha wapatiwe misaada.Baada ya hapo wanapanga namna gani ya kuzitafuna.
I like it... I like it.....

Hoja hujibiwa kwa hoja. Ninategemea this time Muungwana ata-come up na majibu halisi, na sio generalized answer kwamba hizi ni kelele za wapinzani. Je, mabalozi nao ni wapinzani? Anadhani wadanganyika wa leo ni sawasawa na wale wa mwaka 47....

C'mon politicians... Kuweni wakweli na mumwogope Mungu... Jibuni hoja kwa kutoa hoja, na si vinginevyo...

Sina uhakika kama kingwendu atawajibu 'dry' na wafadhili, lazima atatoa jibu la kueleweka tu. Hawezi kuwajibu ovyo jamaa wanaofadhili 40% ya bajeti yetu, awape jibu linaloeleweka.

Hakuna cha kushinikiza nchi za magharibi wala nini. Dawa ni kuwaondoa mafisadi kutoka madarakani. Tatizo ni sisi wenyewe na dawa ni sisi wenyewe. Inabidi tubadilike. Tuache upole na tuwe wakali. Tusiwe na huruma hata kidogo kwa mafisadi.Tuwe wachapa kazi na si wazembe. Tuamke na tuache kulala. Nawaambia haya yote tunaweza kuwa. Ni kuamua tu.

Nakuunga mkono kwa hoja hiyo. Waamuzi wa mwisho wa kukomesha ufisadi ni sisi wenyewe Watanzania.

Hawa jamaa kweli wana masharti magumu kama alivyosema katibu mkuu wa wizara ya fedha au kilimo.

Sisi tunataka hela tukanunulie mashangingi na kujenga majumba yetu, eti wao wanataka tuwaonyeshe jinsi tulivyomuendeleza mlalahoi na mkulima. Jamani hili sharti mbona gumu sana?

Sisi tunataka tule rushwa ili tuwe na mapesa mengi ya kutanua, eti wao wanataka tuonyeshe jinsi gani tunapigana na rushwa, hawa jamaa masharti yao magumu sana sio siri ndio maana hatuendelei.

Vitu vingine bwana vinauma mpaka unataka kucheka tu.

Some jokes are really painful, lakini ndio hali halisi. Hawapendezewi kuona pesa wanayotupatia tunanunulia mashangingi ambayo kwao wameyapiga kodi ya kufa mtu na hayatakiwi.


Hapa ni sehemu ya kuwa makini sana.Serikali haipangi bajeti ili waitekeleze kwa manufaa ya watanzania.Wanapanga bajeti ili kuwaridhisha wafadhili kisha wapatiwe misaada.Baada ya hapo wanapanga namna gani ya kuzitafuna.

Kama hii nayo ni kweli basi tumekwisha!
 
Hakuna cha kushinikiza nchi za magharibi wala nini. Dawa ni kuwaondoa mafisadi kutoka madarakani. Tatizo ni sisi wenyewe na dawa ni sisi wenyewe. Inabidi tubadilike. Tuache upole na tuwe wakali. Tusiwe na huruma hata kidogo kwa mafisadi.Tuwe wachapa kazi na si wazembe. Tuamke na tuache kulala. Nawaambia haya yote tunaweza kuwa. Ni kuamua tu.

Nyani, unachoogea naafikiana nacho 1500%. Tatizo la msingi hapa tanzania ni ubovu wa "institutions & superstructures" tulizonazo. Wanachojiuliza wana JF ni je??? hivi tukiwaondoa hawa mafisadi ndio utakuwa mwisho wa ufisadi??? Tunaweka tumbili wapya kwenye msitu ule ule??? Angalia ufisadi unaondelea kwenye utawala wa kibaki hapo kenya.
 
Gigo..... Think twice!


halafu mtu akipewa mapumziko ya ghafla anaanza kulia.. jenga hoja, na iache isimame kwa hoja, matusi haiifanyi hoja ya kuwa na nguvu, ila kunadhihirisha udhaifu wa nguvu za hoja yako na hivyo kutufunulia udhaifu wa mtoa hoja!
 
wako wapi wale walokuwa wakisema wapinzani wanaona choyo JK anazidi kung'ara nchi za nje?

hali ni mbaya, na hii imeletwa na sisi wenyewe, nchi ina mawaziri wengi, maendeleo machache

wabunge wengi, wanaochangia hoja za bunge wachache...

watu wanalipana mishahara mikubwa kwa kazi zisizoonekana.

tanzania inaweza kujiendesha bila ya kuwa na pesa za wafadhili kwenye bajeti, hii ya sasa ni kudhihirisha ulafi tu wa mawaziri wetu
 
Nyani, unachoogea naafikiana nacho 1500%. Tatizo la msingi hapa tanzania ni ubovu wa "institutions & superstructures" tulizonazo. Wanachojiuliza wana JF ni je??? hivi tukiwaondoa hawa mafisadi ndio utakuwa mwisho wa ufisadi??? Tunaweka tumbili wapya kwenye msitu ule ule??? Angalia ufisadi unaondelea kwenye utawala wa kibaki hapo kenya.

Duuh! Sasa hiyo inatisha mazee kwa sababu kama hiyo ndio kanuni basi ina maana sisi wabongo wote ni mafisadi na hamna hata mmoja wetu/ wachache ktk watu milioni 40 ambao si mafisadi. Bora lipi? Kuwaondoa mafisadi waliokwishatuthibitishia ufisadi wao au kuwaacha waendelee kutawala kwa vile tu watakaowarithi nao wataishia kuwa mafisadi? Bado sijakata tamaa kuwa hatuna watu wasafi wasio walafi.
 
Duuh! Sasa hiyo inatisha mazee kwa sababu kama hiyo ndio kanuni basi ina maana sisi wabongo wote ni mafisadi na hamna hata mmoja wetu/ wachache ktk watu milioni 40 ambao si mafisadi. Bora lipi? Kuwaondoa mafisadi waliokwishatuthibitishia ufisadi wao au kuwaacha waendelee kutawala kwa vile tu watakaowarithi nao wataishia kuwa mafisadi? Bado sijakata tamaa kuwa hatuna watu wasafi wasio walafi.


Nami naamini kuna watu clean TZ ambao hawajapewa nafasi. Hii ya kufikiri kila mtu ni kama CCM ni kisingizio na uvivu wa kufikiri. Hata hao akina Kibaki wa Kenya wanaowasema wapo far better kuliko akina Moi. Tusiogope mabadiliko.
 
Nawa unga Mkona Wahisani!!Ni kweli Fedha Zao Zina tumiwa hovyo!! sisi ndio tunao omba kwao!!Lakini Tuna fanya Tofauti..Nina washangaa Nyie wote Mnao ona hizi hela ni za wazungu..Bora uwe Msenge Kuliko kua Muongo!!
Kuna Ushahidi..Na hao wanao toa Misaada Sio Mafala kama Nyie Wakuda Mnavyo dhani-
If money makes you fool you will be fool with other things!!

Gigo, Nina maanisha USENGE. Samahani kama nimekosea kusema ufikirie mara mbili kuhusu USENGE!
 
halafu mtu akipewa mapumziko ya ghafla anaanza kulia.. jenga hoja, na iache isimame kwa hoja, matusi haiifanyi hoja ya kuwa na nguvu, ila kunadhihirisha udhaifu wa nguvu za hoja yako na hivyo kutufunulia udhaifu wa mtoa hoja!

Mwanakijiji, Matusi yapi tena ndugu yangu? unamaanisha "USENGE"?, kama ni hivyo hata mimi nilikuwa na maana hiyo niliposema afikirie mara mbili kabla ya kuliandika lile neno. Kama sivyo basi sijaelewa Mkuu!
 
nilikuelewa wewe, ila huyo Gigo.. ana kamtindo hako, katika kulazimisha hoja basi lazima atumie tusi fulani. Sasa hivi wengine hatujua matusi ya kidhungu!
 
Back
Top Bottom