Elections 2010 Niwaonavyo wagombea watatu wa urais

Udini ni msamiati tata ulioanzishwa wakati wa Nyerere.Iwapo maana yake ni kuonesha imani ya mhusika katika utendaji wa jambo,basi udini mbaya upo Chadema na ni ule alionao mgombea wake dkt.Slaa.Huyu jamaa alipokuwa akijifanya msemaji sana bungeni,hakuwahi kutetea jambo lenye maslahi na nchi lililoutaja uislamu.Kinyume chake alikuwa ni mpinzani mkubwa wa chochote chenye nembo ya uislamu.
Wagombea wanaogombea kupitia Chadema ambao ni waislamu hawapati ushirikiano mzuri na wanapopatwa na matatizo hawashughulikiwi kichama.
Nimefurahi kuwa katika mdahalo wa star TV kati yake na Kinana wa CCM,Slaa ameshindwa vibaya na kaboronga katika suala la kutoa matibabu bure kwa wananchi.

Post kama zako haziwasaidii sana wagombea wa kiislamu bali zinawatenga na Watanzania wasio waislamu waliokuwa wanawapenda kwa sababu za vyama au itikadi au uwezo binafsi wa mtu. Hivi unadhani kura za waislamu peke yao zinaweza kumpa mgombea yeyote ushindi? Wagombea wote wana wafuasi wa dini zote, na unampunguzia mgombea umpendaye kura unapomnadi kwa ajenda ya dini ujue hilo.

Fahamu kuwa nchi hii waislamu ni raia kama wengine, na bungeni yanazungumzwa maslahi ya raia wote kwa pamoja. Kwani hoja zilizoibuliwa na Dr. Slaa zilikuwa zinatetea maslahi ya wakristo? EPA ina uhusiano gani na Dini? Twin tower ya BOT nayo ina dini gani? Richmond ina maslahi kwa nani?

Hebu AMI tutajie japo hoja moja tu ya Dr. Slaa ambayo imetetea maslahi ya dini moja peke yake na kuweka kando wengine.

Nawaona watu kama wewe hatari sana kwa nchi yetu. Naogopa kabisa.
 
Udini ni msamiati tata ulioanzishwa wakati wa Nyerere.Iwapo maana yake ni kuonesha imani ya mhusika katika utendaji wa jambo,basi udini mbaya upo Chadema na ni ule alionao mgombea wake dkt.Slaa.Huyu jamaa alipokuwa akijifanya msemaji sana bungeni,hakuwahi kutetea jambo lenye maslahi na nchi lililoutaja uislamu.Kinyume chake alikuwa ni mpinzani mkubwa wa chochote chenye nembo ya uislamu.
Wagombea wanaogombea kupitia Chadema ambao ni waislamu hawapati ushirikiano mzuri na wanapopatwa na matatizo hawashughulikiwi kichama.
Nimefurahi kuwa katika mdahalo wa star TV kati yake na Kinana wa CCM,Slaa ameshindwa vibaya na kaboronga katika suala la kutoa matibabu bure kwa wananchi.

Someone said you are not fit to sleep with pigs. I stuck up for the pigs.
 
Watu wenye mawazo finyu kama ya akina Ami ndiyo yanayofanya nchi yetu kuwa kichwa cha mwendawazimu, kila mtu anakuja kujifunza kunyoa, kama rais mwenyewe ndiyo hivyo anatamba mbele ya watu hata aibu hana eti kaahadiwa misaada kibao na Marekani! wakati marekani kwenyewe watu maji ya shingo kazi hakuna un-employment rate ni ya kutisha! badala ya kuwaandaa wananchi wako kujenga tabia ya kujitegemea unawalemaza kwa kusubiri kusaidiwa, na hali hiyo ndiyo inashusha sana hadhi na heshima ya nchi! sikuamini kama maneno kama yale yangetoka kwa rais wa nchi, wakati huo huo hicho kidogo kilichopo anakitafuna yeye na familia yake! pamoja na wapambe wake mafisadi kiasi kwamba anafanya watu wote hawana akili kabisaaa! Mungu bariki kaja mzalendo mwenye uchungu wa kweli na nchi yake (Dr Slaa) kawafumbua watu jinsi gani tunavyoliwa, watu kama akina ami tayari walishamwona adui wa uislam, huyo ami akae akijua kwamba muda wa kubembelezana kwa kuogopa hoja za udini umekwisha kama wewe ni mwislam lakini unafanya mambo ya kijinga hatuna muda kukubembeleza tena ukweli utabaki kuwa ukweli tu, na kama ukibisha angalia historia itakuhukumu, maeneo mengi ya Tanzania ambayo yaliyokuwa na uislam uliokolea maendeleo yao kielimu yanajulikana? na kama siyo shule za kikristo sijui hata huyo profesa Lipumba ungemsikia, mambo ya EPA, KAGODA, RADA majibu unayo mwenyewe kama kweli Dr Slaa ana ajenda ya kidini ina maana uislam unabariki ufisadi? mtu akikemea ufisadi tayari keshakuwa adui wa uislam? Shame on you!!!
 
Tumekuelewa vizuri. Wewe unataka mtu yeyote wa dini yako na unamkataa yeyote asiye wa dini yako. Kwako wewe hakuna sifa ya uongozi zaidi ya hiyo. Huo ndio UDINI, na ni mbaya sana kwa nchi yetu.

Wewe ni mtu hatari.

Sisi waislamu hatuna tatizo sana na dini ya mtu kama nyinyi mlivyo.Juzi katika kipindi cha redio yetu ya kiislamu ilifafanuliwa kwa urefu jinsi waislamu walivyowahi kutafuta hifadhi kwa mkristo tena wakati wa Mtume mwenyewe SAW.Walikwenda kwa mtawala mkristo aliyekuwepo Ethiopia kukimbia bughdha za makafiri wa Makka.Huyu mfalme alikuwa muadilifu na akatoa uamuzi usio na upendeleo dhidi yao (waislamu).
Baada ya maelezo hayo elewa kuwa ishara ya mvua ni mawingu.Waislamu wameshaona dhoruba za Slaa dhidi yao,mbali na tabia yake na elimu yake.
 
Dr Slaa kwa mtazamo wangu hafai kuwa Rais bali mbunge tu. Elimu yake ya Bw Yesu Asifiwe itatusaidia nini watanzania kiuchumi. Sana sana ataiingiza nchi katika dimbwi la Ukatoliki na kusababisha kumwagika damu bure. Namshauri arudi msimbazi akamsaidie askofu Pengu

Jina lipitalo majina yote, na kwa jina hilo kila goti litapigwa kwa utukufu wa Mungu.
 
Usiseme JK anatufaa sema ana kufaha!!! coz mm na ukoo wangu na rafiki zangu wote hatufai kabisa!!
 
Watu wenye mawazo finyu kama ya akina Ami ndiyo yanayofanya nchi yetu kuwa kichwa cha mwendawazimu, kila mtu anakuja kujifunza kunyoa, kama rais mwenyewe ndiyo hivyo anatamba mbele ya watu hata aibu hana eti kaahadiwa misaada kibao na Marekani! wakati marekani kwenyewe watu maji ya shingo kazi hakuna un-employment rate ni ya kutisha! badala ya kuwaandaa wananchi wako kujenga tabia ya kujitegemea unawalemaza kwa kusubiri kusaidiwa, na hali hiyo ndiyo inashusha sana hadhi na heshima ya nchi! sikuamini kama maneno kama yale yangetoka kwa rais wa nchi, wakati huo huo hicho kidogo kilichopo anakitafuna yeye na familia yake! pamoja na wapambe wake mafisadi kiasi kwamba anafanya watu wote hawana akili kabisaaa! Mungu bariki kaja mzalendo mwenye uchungu wa kweli na nchi yake (Dr Slaa) kawafumbua watu jinsi gani tunavyoliwa, watu kama akina ami tayari walishamwona adui wa uislam, huyo ami akae akijua kwamba muda wa kubembelezana kwa kuogopa hoja za udini umekwisha kama wewe ni mwislam lakini unafanya mambo ya kijinga hatuna muda kukubembeleza tena ukweli utabaki kuwa ukweli tu, na kama ukibisha angalia historia itakuhukumu, maeneo mengi ya Tanzania ambayo yaliyokuwa na uislam uliokolea maendeleo yao kielimu yanajulikana? na kama siyo shule za kikristo sijui hata huyo profesa Lipumba ungemsikia, mambo ya EPA, KAGODA, RADA majibu unayo mwenyewe kama kweli Dr Slaa ana ajenda ya kidini ina maana uislam unabariki ufisadi? mtu akikemea ufisadi tayari keshakuwa adui wa uislam? Shame on you!!!
dmalale hapa jukwaani nimeangalia umeingia zamani kuliko mimi,lakini muda mrefu ulikuwa umelala mpaka umefika uchaguzi.
Hapo kale kulikuwa na harusi kubwa iliyowakusanya wanyama kila aina na vikundi vyao vya kutumbuiza.Ilikuwa ni harusi ya mbweha kutafuta kisingizio tu cha kuwala kuku.Koo moja alikuwa akilalia msituni,siku hiyo akatoka kidogo kutafuta chakula akakuta harusi imepamba moto na ni zamu ya kikundi cha kuku kutumbuiza.
Alipofika akakuta nyimbo ikiimbwa na mbweha na wanyama wote wakiitikia kibwagizo..."Huko mjini kwenu hakuna watu jogoo!"..
Jogoo alikwishaijuwa janja hiyo na kukiamrisha kikundi chake cha mitamba,vifaranga na vijogoo kuwa waitikie bila kufumbua midomo yao "mmmm mmmm mmmm mmmm mmmooo..". ili wasije wakajulikana kuwa hawana meno.Kufika lile koo likatibua kila kitu.Bila kuuliza akaingia kwa kinywa kikubwa "Haa! jogoo..,kualikwa harusi na wenzenu halafu wenzenu musitwambie!.Hapo hapo akafumbua jidomo lake na kuimba kwa sauti ya juu "Huko mjini kwenu hakuna watu jogooo!". Ikajulikana kuwa kumbe kuku hawana meno,ikawa mshike mshike.Jogoo wakaadhirika.

Wewe nawe umekuja kutoka usingizini na hadithi zako za baa kuwa waislamu hawakusoma na ni kutokana na uzembe wao.Hapa kwenye jukwaa hili limejadiliwa kwa urefu.Hoja si kweli.Nyinyi munapenda kujikweza tu,lakini usomi wenu ni kama huo wa mgombea wenu anayepigwa chenga na akina dada na ambaye hawezi kueleza mfuko wa saruji utauzika vipi kwa sh.5000 au elimu bure itakuwaje.
 
Lumumba Buk7 sports club ilikuwa haijasajiliwa kuanza kazi ndio maana mijadala ilikuwa ya maana bila uchafuzi wa mazingira
Hao unaowaita hivyo wengi wao wapo tu wanaangalia namna matusi yalivyogeuka sera kuu huko upinzani
 
Back
Top Bottom