Nivaeje baada ya kuolewa?

vaa vazi la kukustili kwani unakuwa umeisitili familia yako (mmeo) pia ,
 
Hawezi kuamua, anaweza kushauri! Muamuzi ni mvaaji!

Mkuu, fikiri mkeo (lets assume you are a man) ulimwoa akiwa na tabia ya kuvaa decent! Ghafla anapata mashosti wanaomshauri avae hizi 'taiti' wanazovaa siku hizi. Kama mwanaume huwezikukataa kweli hapo?
 
heeee hili nalo lazua mjadala kisa?mke wa mtu avae vile mume vinavyomvutia il kupunguza kas ya kuvutiwa na vya nje....niishie hapa kwakuwa inahusu mavaz....
 
siezi kumzuia mke wangu kuhusu mavazi ila at least ajiheshimu katika mavazi ili kuwe na tofauti ya mwanandoa na bachela
 
mavaz ya heshima ndo mpango mzima kwa mwanamke aliyeolewa,vile vivaz vya utatat waachie mabinti wadogo ambao bado wako sokon kutafuta wenza wao,wewe ushaolewa ukivaa vimini,vitop,cjui vipedo vyakubanaa unataka umvutie nani tena?
 
Lazima mkeo afae mavazi ya staha yatakayoleta heshima kwa mume,mke na familia kwaujumla.
 
mwanamke yeyote,aliyeolewa au ambaye hajaolewa anapaswa kuvaa nguo zenye heshima.
kuvaa kiheshima haimaanishi usiende na wakati na fasheni.
Hata kama mtu hajaolewa haipendezi kuvaa nguo zinazoondoa heshima yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom