Isaac Mwampashi
Senior Member
- Dec 25, 2012
- 123
- 135
Iko chaser gx 100 ina bima kubwa na vibali vyote safi ina hali nzuri gari yangu mwenyewe Nipigie 0622210216 ili uiangalie.
Picha MkuuNina Pigoet ya mwaka 1956
Haina tatzo mkuu ni matengenezo kwenye body tuu,inatekenya kama kawaida hyo safari popote bila m nne sitoi.Inatatizo gani
OK. LEO JIONI NIKIRUDI HOMENi
Pm pcha ya hyo gari
Beo gani mkuu
Crown hiyo hapo inahitajika milioni 3 kwasababu ya matatizo tu ya kifamiliaKama heading inavyosema...nina mil 3 cash.
Iko vzr gariCrown hiyo hapo inahitajika milioni 3 kwasababu ya matatizo tu ya kifamilia
hahahhahhaulikuwa unamaanisha gari au mkokoteni?
Iko vzr ni family problem tu...Iko vzr gari
Inategemea unataka kwa matumiz ya mjini tu, au kama unakaa nje ya mji madimbwi mvua ikinyesha ndio utajua FAIDA YA KUWA NA gari ya 4WHEEL DRIVER.Hii fari nahc nmeipenda...wajuzi wa mambo labda kama mna maono tofauti
Mkuu unapoint nzito sanaInategemea unataka kwa matumiz ya mjini tu, au kama unakaa nje ya mji madimbwi mvua ikinyesha ndio utajua FAIDA YA KUWA NA gari ya 4WHEEL DRIVER.
Pia ni vizuri ukakagua gari ukiwa na fundi wako mana hao wanajua vimeo na kitu roho ya paka. Mfano hizo gari utaambiwa family problem, kumbe imechakazwa mbaya imebaki rangi tu kuvutia