Niuongo na uzushi kusema wanajeshi wanaunga mkono serikali hebu tuangalie facebook page zao

Mwanaharakatihuru

JF-Expert Member
Mar 21, 2012
477
120
Kwa utafiti mdogo nilio ufanya kwa rafiki zangu na timeline za wanajeshi takribani 20 wakubwa ninaowajua nimekuta wakiizodoa serikali pasipo kificho. Nadhani Facebook inatupa nguvu wananchi kujua kwamba tunasupport kubwa ya mabadiliko ambayo tunaweza kutumia kwa manufaa ya nchi yetu.

Je rafiki zako wanajeshi kwenye facebook wana huu uthubutu?? na je umeplay role yako kuwahamasisha katika safari ya mabadiliko chanya?? Timiza wajibu wako tumikia taifa lako.

Amani sio ujinga Amani ni uwajibikaji.
 
Kwa utafiti mdogo nilio ufanya kwa rafiki zangu na timeline za wanajeshi takribani 20 wakubwa ninaowajua nimekuta wakiizodoa serikali pasipo kificho. Nadhani Facebook inatupa nguvu wananchi kujua kwamba tunasupport kubwa ya mabadiliko ambayo tunaweza kutumia kwa manufaa ya nchi yetu.

Je rafiki zako wanajeshi kwenye facebook wana huu uthubutu?? na je umeplay role yako kuwahamasisha katika safari ya mabadiliko chanya?? Timiza wajibu wako tumikia taifa lako.

Amani sio ujinga Amani ni uwajibikaji.

Kijana nafikiri una matatizo ya akili, uanajeshi siyo ajira tu bali kujitolea kwa harufu ya damu.
Hayo si maneno yangu bali ya marehemu Edward Sokoine.

Kama uthubutu huo unaouongelea unao, wtaje majina yao hapa jamvini.
 
Nenda angalau JKT maana JW huwezi ndio utajua unachokisema km kuna ujinga wa facebook huko, acheni kukwepa / kujongo maana hata harufu ya baruti huielewi.Mimi ningekushauri mapori yapo mengi unaweza tangulia hata kwa manati uone km kuna mtu atakufuata lakini humu kwenye mitandao utapata support kibao
 
Tatizo lenu mnakaa kipashukunaku hata kufanya utafiti wa moja na mbili Je unarafiki mwanajeshi facebook?? Mwenye elimu zaidi ya form six?? angalia FB page yake
 
kwani huongo? wanajeshi kibao hawaridhiki na mfumo mbovu wa utawala wa nchi kwa sasa.
 
mara ngapi tunasikia ulaya wanajeshi wako against baadhi ya government policies wapo wengi na hata hapa kwetu sema bongo kuongea hadharani against serikali lazima wakufanyizie lakini mimi ninaamini wapo sana...Nenda kaangalie maisha ya wanajeshi wanayoishi, mishahara wanayolipwa ndio utajua kama wanaisupport serikali au vipi..of coz wao ni wanajeshi so wakipewa amri na mkuu wa majeshi au amiri jeshi mkuu watafanya but hiyo haimaanishi wanawaunga mkono
 
kwani huongo? wanajeshi kibao hawaridhiki na mfumo mbovu wa utawala wa nchi kwa sasa.

Kwa hiyo unafikiri utatuzi wa matatizo hayo ni facebook!! I thought kuna njia nzuri zaidi ya hiyo, Mazungumzo siyo kulalama kwenye social media.
 
mara ngapi tunasikia ulaya wanajeshi wako against baadhi ya government policies wapo wengi na hata hapa kwetu sema bongo kuongea hadharani against serikali lazima wakufanyizie lakini mimi ninaamini wapo sana...nenda kaangalie maisha ya wanajeshi wanayoishi, mishahara wanayolipwa ndio utajua kama wanaisupport serikali au vipi..of coz wao ni wanajeshi so wakipewa amri na mkuu wa majeshi au amiri jeshi mkuu watafanya but hiyo haimaanishi wanawaunga mkono




unataka wanajeshi waishi maisha mazuri kuliko watu wengine . Umesahau pia jeshi ni kazi kama kazi zingine . Je wamesoma ? Au kwa sababu tu ni mwanajeshi hata kama ni darasa la saba au form 4 fail basi aishi vizuri kisa mwanajeshi. Basi kila mtu angekuwa mwanajeshi
 
Back
Top Bottom