jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,003
Samahani mkuu,ni 0783724242 nilikosea namba.Mkuu acha kuleta mzaha kwenye mambo serious, hii namba siyo ya kwako nimeipiga anayepokea hajui lolote kuhusu Gypsum wala hata JF haijuhi.
Nimeikaguwa namba niliyoipiga na nikamwambia anitajie namba yake ameitaja namba hii kwa usahihi kabisa. So strange sijui intention yako ni nini hasa!!