Habari wadau hasa wale walioko ktk medani ya IT, ebwana nataka kufungua net cafe lakini bado sijapata ISP kwa maana wengi wanazingua. Kama unamfahamu provider nzuri hasa kwenye price na speed niambie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.