dropingcoco
Senior Member
- Jun 21, 2008
- 124
- 11
1. Kuhamisha namba za simu kutoka kwenye phonebook kuhamishia kwenye computer na kuzitoa kwenye computer kurudisha kwenye simu? (hii ni kutokana na kupoteza simu na kupoteza contacts muhimu
2. Kujua kama simu yangu ni 3G, nini kinanionyesha hilo?
3. Kujua kama hawa Airtel wameondoa ile huduma yao ya kutoa muda wa maongezi wa dk 10 na 200mb baada ya kuongeza voucher?
4. Kujua kama hawa Vodacom bado ile kuongea kwa shilingi kwa sekunde kama bado ipo, maana siku hizi kuongea Vodacom kwenda Vodacom hela inaliwa haswa, na kama ipo nini kinasababisha pesa iishe mara moja namna hiyo?
Natumaini wataalamu wa mambo haya mtanisaidia ipasavyo
Asanteni
2. Kujua kama simu yangu ni 3G, nini kinanionyesha hilo?
3. Kujua kama hawa Airtel wameondoa ile huduma yao ya kutoa muda wa maongezi wa dk 10 na 200mb baada ya kuongeza voucher?
4. Kujua kama hawa Vodacom bado ile kuongea kwa shilingi kwa sekunde kama bado ipo, maana siku hizi kuongea Vodacom kwenda Vodacom hela inaliwa haswa, na kama ipo nini kinasababisha pesa iishe mara moja namna hiyo?
Natumaini wataalamu wa mambo haya mtanisaidia ipasavyo
Asanteni