FELISTER kulwijira
Member
- Mar 11, 2007
- 16
- 1
Naomba kufanunuliwa namna ya kuishi na mtu aliyeathirika na virusi vya ukimwi au mgonjwa wa ukimwi bila kuonyesha kumnyayapaa,mfano namna ya kufua nguo zake,kuchangia vyombo vya kuogea na vya kulia chakula nk.