Elections 2010 Nitashangaa sana kikwete akishinda

Masauni

JF-Expert Member
Aug 15, 2010
386
58
Mwaka huu tumejaliwa kupata mgombea bora kabisa katika kiti cha uraisi naye ni Dr. Silaa., Ana kila sifa ya kuwa raisi wa nchi yetu. Mpaka sasa hakuna mtu au chama ambacho kimeshasema udhaifu au ubaya wa Dr. Silaa tangu akiwa kiongozi katika mashirika ya kidini mpaka ubunge na mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa. Hakuna awezaye kupinga maendeleo ya karatu chini ya uongozi wake. Dr. Silaa amesimamia vizuri kabisa hesabu za serikali za mitaa. Asingekuwa silaa na wenzake nani leo angejua ufisadi uliofanywa na CCM. Umewahi kuona wapi kiongozi anasema mshahara wangu mkubwa inabidi upunguzwe ili na wengine wafaidike!! Lakini ni Dr. Silaa alidiliki kuutangazia umma jambo hilo. Ni Dr. Silaa ambaye amehaidi kubadilisha Katiba akiweka wazi kwamba Raisi ana madaraka makubwa mno, na haiwezekani hatima ya watu mil 40 ikawa tu chini ya mtu mmoja. Dr. Silaa afanye nini ili watanzania mjue kwamba tumejaliwa kupata mtu makini baada ya kulia kwa miaka mingi? Watu wanaompinga Dr. Silaa wanampinga kwa lipi baya alilofanya?
Ukija kwa kikwete ni ukweli usiopingika kuwa mafisadi ndo watu wanaomsupport na hata serikali yake ilikiwa kupambana na mafisadi ni kazi sana, alipokuwa mawziri wa nishati na madini alisign mikataba mingi mibovu.
Sielewi wanaomsifia kikwete wanamsifia kwa lipi? wanaagenda gani? Je wanamacho lakini hawaoni? wanamasikio lakini hawasikii?
NITASHANGA WATANZANIA WAKIMKUBALI KIKWETE NA KUMKATAA DR. SILAA. NASEMA TENA NITAWASHANGAA SANA WATANZANIA
 
Masauni,
Hata ukiangalia jinsi anavyokampeni ni kama mtu anayeogopa kivuli chake. Baada ya miaka 5 mamlakani angekuwa amefanya mazuri angekuwa na rekodi nzuri ya kujivunia katika kampeni. Badala yake tunasikia atatufanyia nini akipewa ridhaa yetu, akitoa ahadi kem kem, ataleta meli, ataboresha usafiri, atalipa madeni, yaani ili mradi tu ahadi zisizo na mwisho. Hana rekodi nzuri ya kujivunia, imebaki kutoa ahadi tu.l
 
IInashangaza sana kuona ushabiki wa kivyama unawekwa mbele badala ya maslahi ya nchi! Tunaongozwa na hisia zaidi ya kufanya informed judgment. Kwa mtu mwenye akili timamu huwezi kwenda kupigwa na jua kusiikilza sera za CCM maana hawana jipya.

Wangapi wamejaribu kupigapiga kelele wakaishia kuulizwa sema unachotaka na wamenyamaza milele! Walikuwepo akina HIZA, NGAWAIYA, TEDY, MAALIM SEIF, LYATONGA wote hao wamenyamaza amebaki Dr Slaa tu.

Licha ya hayo majaribu na ahadi kemkem toka kwa CCM, amechagua kukaa upande wa wawanyonge, amekuwa sauti ya umma wa watanzania waliosahaulka, wakati mwingine hata kuhatarisha maisha yake.

Wakati haya yakitokea kuna watanzania wanafuata mkumbo tu na ushabiki ukimwuliza hata hana sababu tena wengine wanakwambia basi tu ni chama changu! Huu ni uzembe wa kufikiri sijui! Kwa ufupi inakatisha tamaa
 
Dr. Silaa afanye nini ili watanzania mjue kwamba tumejaliwa kupata mtu makini baada ya kulia kwa miaka mingi? Watu wanaompinga Dr. Silaa wanampinga kwa lipi baya alilofanya?

NITASHANGA WATANZANIA WAKIMKUBALI KIKWETE NA KUMKATAA DR. SILAA. NASEMA TENA NITAWASHANGAA SANA WATANZANIA - MASAUNI
 
CCM has already won! You have no choice but to accept it. JK will be officially inaugurated on December 9th 2010. The voice of the majority Tanzanians will have the final say. More and more foreign/Asian investors will be coming to invest in this great country again.
I love Tanzania. The oasis of peace and kind people. One nation under the creator.
I love CCM
 
Mwaka huu tumejaliwa kupata mgombea bora kabisa katika kiti cha uraisi naye ni Dr. Silaa., Ana kila sifa ya kuwa raisi wa nchi yetu. Mpaka sasa hakuna mtu au chama ambacho kimeshasema udhaifu au ubaya wa Dr. Silaa tangu akiwa kiongozi katika mashirika ya kidini mpaka ubunge na mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa. Hakuna awezaye kupinga maendeleo ya karatu chini ya uongozi wake. Dr. Silaa amesimamia vizuri kabisa hesabu za serikali za mitaa. Asingekuwa silaa na wenzake nani leo angejua ufisadi uliofanywa na CCM. Umewahi kuona wapi kiongozi anasema mshahara wangu mkubwa inabidi upunguzwe ili na wengine wafaidike!! Lakini ni Dr. Silaa alidiliki kuutangazia umma jambo hilo. Ni Dr. Silaa ambaye amehaidi kubadilisha Katiba akiweka wazi kwamba Raisi ana madaraka makubwa mno, na haiwezekani hatima ya watu mil 40 ikawa tu chini ya mtu mmoja. Dr. Silaa afanye nini ili watanzania mjue kwamba tumejaliwa kupata mtu makini baada ya kulia kwa miaka mingi? Watu wanaompinga Dr. Silaa wanampinga kwa lipi baya alilofanya?
Ukija kwa kikwete ni ukweli usiopingika kuwa mafisadi ndo watu wanaomsupport na hata serikali yake ilikiwa kupambana na mafisadi ni kazi sana, alipokuwa mawziri wa nishati na madini alisign mikataba mingi mibovu.
Sielewi wanaomsifia kikwete wanamsifia kwa lipi? wanaagenda gani? Je wanamacho lakini hawaoni? wanamasikio lakini hawasikii?
NITASHANGA WATANZANIA WAKIMKUBALI KIKWETE NA KUMKATAA DR. SILAA. NASEMA TENA NITAWASHANGAA SANA WATANZANIA

Post nzuri sana hii - JK akishinda watanzania wote watakaompa ushindi kwa namna yoyote ile watakuwa wanakubaliana na Ghadafi kwamba waafrika wa kusini mwa jangwa la Sahara ni wajinga/ wapumbafu! Pia sitaumia tena kuona watanzania wanawake wanalala wawili wawili kabla na baada ya kujifungua hospitalini; sitaumia tena kuona watoto na wajukuu wetu wanakaa chini darasani, sitaumia tena kuona wimbi kubwa la vijana wadogo wanauza biashara ndogo ndogo na wa kike kujiuza barabarani nyakati za usiku, sitaumia tena kuona maisha mabaya kwa kila mtanzania kwani tumetaka wenyewe; bali nitamwomba Mungu bila kukoma ili awasamehe watanzania watakaofanya hivyo kwani hawatakuwa wanajua walitendalo; yaani, kuwaingiza wenzao na wao wenyewe kwenye lindi kubwa la umasikini na maisha ya kishetani!!
 
CCM has already won! You have no choice but to accept it. JK will be officially inaugurated on December 9th 2010. The voice of the majority Tanzanians will have the final say. More and more foreign/Asian investors will be coming to invest in this great country again.
I love Tanzania. The oasis of peace and kind people. One nation under the creator.
I love CCM
So there are foreign investors and Asian investors? That firm RITES which swindled the Railway Authority in Tanzania TRC; was an Indian Investor! How much did you pay the officials? That is only once example how these thugs have to leave the government to Dr. Slaa.
 
CCM has already won! You have no choice .. ........More and more foreign/Asian investors will be coming to invest in this great country again.

Akutukanae akuchagulii tusi. Wadanganyika mkitoka hapo muendeleze misemo yenu ya Ndugu Zetu Wenye Asili ya Kiasia! Toba!!
 
Akutukanae akuchagulii tusi. Wadanganyika mkitoka hapo muendeleze misemo yenu ya Ndugu Zetu Wenye Asili ya Kiasia! Toba!!

Mimi mijitu hii naichukia sana tena sana maana wao ndio asili ya matatizo yetu mengi.

Sifichi na wala si racism lakini tokana na tabia yao wenyewe ya wizi na ubaguzi nimejikuta siwapendi na narudia nasema siwapendi kabisa. Nawachukia kiasi kwamba nikipewa nchi kuiongoza naweza kufanya kama Amin alivyofanya kwao. Woooooooooooooote nawaamuru kurudi nchi zao.

Wanasema Tanzania ni nchi ya amani na wanaipenda maana ni nchi hii tu ambako wanaweza kuja hawana kitu wakawachezea viongozi wetu na kuiba huku na sisi wadanganyika tukiwachekea.
 
Hata mie nitashngaa kama Slaa atashinda. Si kwa sababu ya kuwa hafai la hasha.. bali mtumbwi anaoutumia kumfikisha hauna mwamana na umekosa sifa maridhawa za kuaminiwa kuongoza nchi... kwani demokrasia ndani ya mtumbwi huo ni wa mashaka makubwa..uteuzi wa viongozi wake katika ngazi muhimu umegubikwa na ukabila...na ukifurukuta kupingana nao wataku-wangwe. Kasoro hiyo ipo pia CUF. Lakini hii haina maana kuwa naishabikia CCM...naichukia mno kwa namna ilivyojiwekea ukiritimba na kujigeuza kuwa ni mali ya matajiri na mafisadi wasioitakia mema nchi hii. Nitafarijika iwapo vyama vya upinzani vitapata angalau nusu ya wabunge ili kurekebisha mambo mjengoni.
 
Mwaka huu tumejaliwa kupata mgombea bora kabisa katika kiti cha uraisi naye ni Dr. Silaa., Ana kila sifa ya kuwa raisi wa nchi yetu. Mpaka sasa hakuna mtu au chama ambacho kimeshasema udhaifu au ubaya wa Dr. Silaa tangu akiwa kiongozi katika mashirika ya kidini mpaka ubunge na mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa. Hakuna awezaye kupinga maendeleo ya karatu chini ya uongozi wake. Dr. Silaa amesimamia vizuri kabisa hesabu za serikali za mitaa. Asingekuwa silaa na wenzake nani leo angejua ufisadi uliofanywa na CCM. Umewahi kuona wapi kiongozi anasema mshahara wangu mkubwa inabidi upunguzwe ili na wengine wafaidike!! Lakini ni Dr. Silaa alidiliki kuutangazia umma jambo hilo. Ni Dr. Silaa ambaye amehaidi kubadilisha Katiba akiweka wazi kwamba Raisi ana madaraka makubwa mno, na haiwezekani hatima ya watu mil 40 ikawa tu chini ya mtu mmoja. Dr. Silaa afanye nini ili watanzania mjue kwamba tumejaliwa kupata mtu makini baada ya kulia kwa miaka mingi? Watu wanaompinga Dr. Silaa wanampinga kwa lipi baya alilofanya?
Ukija kwa kikwete ni ukweli usiopingika kuwa mafisadi ndo watu wanaomsupport na hata serikali yake ilikiwa kupambana na mafisadi ni kazi sana, alipokuwa mawziri wa nishati na madini alisign mikataba mingi mibovu.
Sielewi wanaomsifia kikwete wanamsifia kwa lipi? wanaagenda gani? Je wanamacho lakini hawaoni? wanamasikio lakini hawasikii?
NITASHANGA WATANZANIA WAKIMKUBALI KIKWETE NA KUMKATAA DR. SILAA. NASEMA TENA NITAWASHANGAA SANA WATANZANIA
When the character of a man is not clear to you, look at his friends
 
Mimi mijitu hii naichukia sana tena sana maana wao ndio asili ya matatizo yetu mengi.

Sifichi na wala si racism lakini tokana na tabia yao wenyewe ya wizi na ubaguzi nimejikuta siwapendi na narudia nasema siwapendi kabisa. Nawachukia kiasi kwamba nikipewa nchi kuiongoza naweza kufanya kama Amin alivyofanya kwao. Woooooooooooooote nawaamuru kurudi nchi zao.

Wanasema Tanzania ni nchi ya amani na wanaipenda maana ni nchi hii tu ambako wanaweza kuja hawana kitu wakawachezea viongozi wetu na kuiba huku na sisi wadanganyika tukiwachekea.

Utarudi wewe kwenu Msumbiji huku Wahindi wakiendelea kupeta.:eyebrows:
 
Ukija kwa kikwete ni ukweli usiopingika kuwa mafisadi ndo watu wanaomsupport na hata serikali yake ilikiwa kupambana na mafisadi ni kazi sana, alipokuwa mawziri wa nishati na madini alisign mikataba mingi mibovu.
Sielewi wanaomsifia kikwete wanamsifia kwa lipi? wanaagenda gani? Je wanamacho lakini hawaoni? wanamasikio lakini hawasikii?
NITASHANGA WATANZANIA WAKIMKUBALI KIKWETE NA KUMKATAA DR. SILAA. NASEMA TENA NITAWASHANGAA SANA WATANZANIA

Kawaulize waliotoa WARAKA watakueleza kwanini walimsifia Kikwete wakati ule na kumuita Chaguo la Mungu. Tatizo lenu kesho ukitoka WARAKA mwengine huko unakotoka basi mtarudi huko huko na kusahau mnachobwabwaja sasa hivi.:glasses-nerdy:
 
.......Mpaka sasa hakuna mtu au chama ambacho kimeshasema udhaifu au ubaya wa Dr. Silaa tangu akiwa kiongozi katika mashirika ya kidini mpaka ubunge na mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa.............



Ndugu yangu wewe,ya kweli hayo?!.labda,sijui.na ya binafsi hatuyasemi.
 
CCM has already won! You have no choice but to accept it. JK will be officially inaugurated on December 9th 2010. The voice of the majority Tanzanians will have the final say. More and more foreign/Asian investors will be coming to invest in this great country again.
I love Tanzania. The oasis of peace and kind people. One nation under the creator.
I love CCM
Ndio mutaminiminika sana kuja Tanzania , siku hizi munanyimwa visa za marekani,uingereza na canada hamuwezi kuhamia huko tena wenye nchi zao wamewasitukia kwa ujambaaawazi wenu mafisadi wakubwa , kawachukue wote wanaokunya mavi pale airport ya Bombay na vibakuri mkononi , wakimuomba kila anayetelemka kwenye ndege,uwalete Tanzania harafu uwaite investors, au kawachukue waliozaliwa kwenye mikokoteni au kwenye vibanda vya makaratasi kwenye mitaa ya Bangalore ,utumbo mtupu
 
Ndio mutaminiminika sana kuja Tanzania , siku hizi munanyimwa visa za marekani,uingereza na canada hamuwezi kuhamia huko tena wenye nchi zao wamewasitukia kwa ujambaaawazi wenu mafisadi wakubwa , kawachukue wote wanaokunya mavi pale airport ya Bombay na vibakuri mkononi , wakimuomba kila anayetelemka kwenye ndege,uwalete Tanzania harafu uwaite investors, au kawachukue waliozaliwa kwenye mikokoteni au kwenye vibanda vya makaratasi kwenye mitaa ya Bangalore ,utumbo mtupu

Kajifunze kuandika Kiswahili fasaha kabla ya kujifanya Mtanzania kwa sana!

Wewe unakunya nini? Dhahabu ama zabibu?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom