Ndugu wana jf namba mtu yeyote mwenye ufahamu ni hatua gani au ninawezaje kupata nembo ya tbs kutoka shirika la viwango.nataka kuwa mjasilia mali wa kutengeneza bidhaa za mafuta ya kupikia yatokanayo na mbegu kama alizeti,karanga na nyonyo.nimehangaika sana na advance diploma yangu ya computer naona hainisaidii kupata ajira.naomba mnijuze tafadhali.