African American
Senior Member
- Feb 6, 2012
- 165
- 62
Ndugu, mimi huwa natembea usiku kutokana na majukumu yangu binafsi. Nataka kupata AK 47 kwa sababu maadui wanaweza kuja na silaha nzito. Mimi najali sana uhai wangu naomba anayejua utaratibu wa kupata hiyo bunduki kama ile ya malima. Mwanzoni nilidhani ni majeshi katika nchi hii yanaruhusiwa kumiliki kumbe hata sisi raia tunaruhusiwa?tafadhali naombeni utaratibu ili nipate moja.