Nitapata wapi Tractor la kukodisha?

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,653
Nipo mwanza ninahitaji kutengeneza shamba la kama heka 3. Ningependa kulima kwa tractor. Wadau nisaidie hapa Mwanza maeneo ya Nyegezi tractor nitapataje?
 
Mwanza mbali Trekta kwa idadi ya hekari zako ipo Dar Es Salaam, pia yawezekana wewe si mzaliwa hekari 3 unatafuta Trekta
 
Nenda KISESA pale kuna wakulima wengi unaweza kupata tractor, kuna Mzee mmoja anamashine ya kusaga anaitwa doma huyo ni mkulima mzuri na tractor anazo
 
Nenda KISESA pale kuna wakulima wengi unaweza kupata tractor, kuna Mzee mmoja anamashine ya kusaga anaitwa doma huyo ni mkulima mzuri na tractor anazo
Mkuu nashukuru ngoja niende uko asubuh.
 
Mwanza mbali Trekta kwa idadi ya hekari zako ipo Dar Es Salaam, pia yawezekana wewe si mzaliwa hekari 3 unatafuta Trekta
Huku watu hwawezi kulima unaweza kusumbuana nao bure ni bora kutafta tractor mkamalizana sikuhiyoiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom