mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,335
- 1,183
Habari zenu wana JF wote.
Kwa wakati huu mimi nimo katika mpango wa kuanzisha biashara yangu dar na zanzibar. Biashara yangu hii inahitaji kila ofisi kuwa na matumizi ya network in full (inter networking) na ambayo itakuwa wafanyakazi wote wanategemea network connection kufanya kazi zao za kila siku.
Suali langu kwenu ndugu zangu ni jee kuna yeyote aneijua kampuni nchini (hususan dar) ambayo inashuhulikia mambo ya network infrastructure? Nahitaji kampuni ambayo sio tu inayolaza network cables lakini ina consult na ina provide solution ya network infrastructure.
Ahsanteni
Kwa wakati huu mimi nimo katika mpango wa kuanzisha biashara yangu dar na zanzibar. Biashara yangu hii inahitaji kila ofisi kuwa na matumizi ya network in full (inter networking) na ambayo itakuwa wafanyakazi wote wanategemea network connection kufanya kazi zao za kila siku.
Suali langu kwenu ndugu zangu ni jee kuna yeyote aneijua kampuni nchini (hususan dar) ambayo inashuhulikia mambo ya network infrastructure? Nahitaji kampuni ambayo sio tu inayolaza network cables lakini ina consult na ina provide solution ya network infrastructure.
Ahsanteni