KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 88
Hivi Mzee Chrisant Maliyatanga Mzindakaya yupo wapi siku hizi?
.[/FONT]
Amejiunga katika kikundi cha MAFISADI. Hukumbuki zile bilioni ?
Hivi Mzee Chrisant Maliyatanga Mzindakaya yupo wapi siku hizi?
.[/FONT]
Amejiunga katika kikundi cha MAFISADI. Hukumbuki zile bilioni ?
Kweli fedha zinabadili sana mitizamo ya watu..jamaa alikua mkali kwelikweli.
Ndio maana naona hawa wakosoaji wetu wasipewe vyeo kwani wanaweza kubadilika. Na pia imefika wakati wa kuwa na mawaziri nje ya wabunge.
nakumbuka mama sitta alivyokuwa kwenye kile chama cha walimu alikuwa anaandaa maandamano na migomo kila siku kuhakikisha walimu wanakuwa na maslahi mazuri.
mungu si athumani JK akampa shavu katika wizara ya elimu na ndo akawa waziri, sasa walimu wakawa wakiandamana ye anawaambia tulieni kwanza matatizo yenu yanashughulikiwa msiandamane...so hata huyo mama kilango anapiga kelele tu ila akipewa uwaziri ataufyata tulii
Hiyo font kubwa namna hiyo inamaanisha nini mwenzangu?
Kweli fedha zinabadili sana mitizamo ya watu..jamaa alikua mkali kwelikweli.
Ndio maana naona hawa wakosoaji wetu wasipewe vyeo kwani wanaweza kubadilika. Na pia imefika wakati wa kuwa na mawaziri nje ya wabunge.
Niliona Majuzi Mama Kilango Alikuwepo Huko Same Katika Ufunguzi Wa Kiwanda Cha Tangawizi Na Aka Contribute Shilingi Milioni Tatu, That's Good, And It Means They Are Starting To Pay Attention Kwa Watu Wanaowawakilisha, Na Mb Mwakyembe Naye Hakosekani Sana Jimboni Kwake Kyela Katika Utatuzi Wa Matatizo Ya Anaowawakilisha That's Also Good, Keep It Up.
Aliyasema bungeni pindi akichangia kashafa ya Richmnond mie mwenyewe nilimsikia !