bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
bacha kipasel changu vp mwanaume wew..!!!!
malizana kwanza na,
JINO KWA JINO
asije nipiga kabali mie,
na uzee huu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bacha kipasel changu vp mwanaume wew..!!!!
Kama lipi Paka Mweusi jamani,mi labda sikuyaona but siwezi acha kujibu maswali yako ati,nitajibu ya nani????
mipango mingne basi
anza kutafuta pampas na poda cz the soon awa factory me n jino kwa jino wl produce..km vle kwa michelle obama anavyomsubiria mtoto kwa sasa..
Kama lipi Paka Mweusi jamani,mi labda sikuyaona but siwezi acha kujibu maswali yako ati,nitajibu ya nani????
Watajibeba wanaosema eti miaka 35 biological clock ndo mwisho wa kuzaa,mimi nasema hadi 60???kuhusu pampas owners wa viwanda vya product za watoto ni rafiki sana wa mume wangu,so ni kiasi cha nyie kusema nitoe order halafu ziletwe hapo?????
sasa my wife unamwaga mchele knye kuku wengi hayo ni yetu ya siri
sasa my wife unamwaga mchele knye kuku wengi hayo ni yetu ya siri
,sawa mpz..nanyamaza...naenda sokon kdg nw i wl b bak ennhh..
baba pamoja na kukuvunja moyo bado tu huchoki,haya baba mwenzio mimi huyu ni bibi wa wajukuu zangu..........
mbona tushamalizana nae na kaniambia kesho ananiopa mzigo
Mkuu hakuna siku umenichekesha kama leo yaani mpaka nliokuwa nao jirani wakaniuliza nlipowaambia wasome ujumbe wako wakacheka kinoma na mademu walisoma wakasema Jf kuna vituko vya kila rangi na eti ugenious ukizidi unageuka taahira.wanawake wa jf nikama panya wa ghalani ukishindana naye atakuangushia magunia!!!kazana!keep hurnting mkuu!
pole kwa kudanganywa baba,wenzio huku tumepanga safari hiyo kesho tutakuwa msongola shambani kwetu wewe sijui utakuwa unamsubiria wapi?
watajibeba km kdg,...mwenyewe najiona kigoriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kuwa na miaka 52 kwan mingi sana et shost...ahhh awa bnadamu FITNA ZINAWASUMBUA..LAKIN JINO KWA JINO MWENYEWE haaaa wala hajali kakubaliana na HALI!!!!!!
NA NISHAANZA KUMPENDA MIE...MSHENGA eeenhh kesho ntakupa posa ukapeleke kwa jino ..nytakupa na adress ...beijing revoltion ..wanawake wanatoa posa tanzania skuiz...
Kwa mara ya kwanza umenijibu leo..........
mimi ni wewe tu ambaye huwa najiuliza nitakuonaje.......unaniuaua
Nahisi kama kukumis,
hivi michelle, na hii weekend lol....