alinishusha leaders club.........supu ya ngumi, then nikakamata bajaji huyoooo kwa mkoloni.Dreva teksi alikushusha ofisini leo?
Habari zenyu bana? Hapa mnazungumzia kilele cha mlima Meru au wa nyumbani Kilimanjaro? BTW nani kanionea binti aliyezaliwa na binti yangu. Mkimwona mwambieni babu ana kiu eti.
unauliza majogoo jinsia?
Wapi Roya, eti majogoo ni HE au SHE?
Habari zenyu bana? Hapa mnazungumzia kilele cha mlima Meru au wa nyumbani Kilimanjaro? BTW nani kanionea binti aliyezaliwa na binti yangu. Mkimwona mwambieni babu ana kiu eti.
hii tabia yako ya kujenga ukuta kabla ya nyumba tutaizungumzia kikao kijacho.habari zenyu bana? Hapa mnazungumzia kilele cha mlima meru au wa nyumbani kilimanjaro? Btw nani kanionea binti aliyezaliwa na binti yangu. Mkimwona mwambieni babu ana kiu eti.
alinishusha leaders club.........supu ya ngumi, then nikakamata bajaji huyoooo kwa mkoloni.
na supu yake shurti uwe una meno.jogoo hadi upate supu yake ndo utajua ni he au ni she..:hungry::hungry::hungry::hungry:
hautak?mwone vle!!:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
Ni vizuri kumuuliza muhusika mkiwa katika tendo! kama mmeweza kuvuana nguo sidhani kama kuulizana hili swali mtaoneana aibu
Mwambieni mama big babu ameteguka kiuno, anahitaji kutumia mkongojo. Msaada tutani eti.
Darling mzima wewe nafikiri mimi hapa sihitaji kujibu hili swali maana mimi na wewe tunajua kila mmoja akifika kileleni huwa inakuwaje tukiwa kwenye uwanja, siri yetu mama.
Hahahaaaaa AVATAR noma, hizo ni dalili za kufika kileleni, sawa Mama Big?
Babu ana mjukuu mmoja tu. Na ile landrova nshauza, namiliki toyota stout TZF 2580. Huo ni urithi wa mjukuu. Roya umeshachelewa, mjukuu nshaanza kula mahari yake.hii tabia yako ya kujenga ukuta kabla ya nyumba tutaizungumzia kikao kijacho.
Haiwezekani kabla ya salamu unaanza kuulizia mjukuu. Yaani kati ya watoto wa mabinti zako wote, huyo mmoja tu ndo unampango wa kumuachia urithi wa ile land rover 109?
Mwambieni mama big babu ameteguka kiuno, anahitaji kutumia mkongojo. Msaada tutani eti.
Da Sophy nimemuacha Mburahati...Hivi umeenda usalule na Da Sophy?
Usisahau kupita hapa stand nikuonyeshe Peugeot 404 nimevuta juzi kutoka kwa Laizer. kwani leo una order ya kupeleka mbege arusha? au ni himo tu.Babu ana mjukuu mmoja tu. Na ile landrova nshauza, namiliki toyota stout TZF 2580. Huo ni urithi wa mjukuu. Roya umeshachelewa, mjukuu nshaanza kula mahari yake.
hahahaha :israel:Habari zenyu bana? Hapa mnazungumzia kilele cha mlima Meru au wa nyumbani Kilimanjaro? BTW nani kanionea binti aliyezaliwa na binti yangu. Mkimwona mwambieni babu ana kiu eti.
Jamani wanaJF mwenzenu nimeulizwa swali kuwa atajuaje kama mpenzi wake amefika kileleni (orgasm)? na afanye nini ili mpenzi wake afike? Mama kubwa nikaona ni busara kuwauliza wenzangu ili tuchange mawazo na tumsaidie mwenzetu...
changu changu cheni changu......ngoja nikae kimya maana hachelewi kusema kategwa huyu Asprin..:tape:Hiyo kiuno yako ishaeksipaya....waachie wenye meno watafune bana...we zako bia tu..