Kama Dr. Slaa angeshinda katika kura za urais serikali yake ingekuwaje kwa kufuatana na katiba iliyopo sasa?? Kama kuna mwana JF alikuwa na fununu basi ajimwage hapa. (Maana ingebidi achague serikali halafu ufuate mchakato wa kuandika katiba mpya). Mnakumbuka idadi ya wizara ambazo alisema ataziunda, hebu nisaidieni kuwapanga mawaziri kutokana na wabunge wa CDM waliopo sasa, halafu wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, halafu......!!
Help me to imagine, Kwa matokeo yaliyopita, je urais ingeshinda CUF (Mawaziri 90% wangetoka ZNZ!), TLP, Just put wale waliogombea urais!!!!!!!!!!! Serikali zao zingeundwaje????
Help me to imagine, Kwa matokeo yaliyopita, je urais ingeshinda CUF (Mawaziri 90% wangetoka ZNZ!), TLP, Just put wale waliogombea urais!!!!!!!!!!! Serikali zao zingeundwaje????