Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Majira ya saa tatu asubuhi leo Shule ya sekondari ya Sumaye mapepo yamewakumbwa wanafunzi na kukimbizwa hospitalini.
Source: Michuzi blog
Nilivyo muelewa mimi huyu mawe matatu ambaye sio original ni kati ya walioshindwa kazi, pia inaonyesha ni msanii kwani jina mawe matatu si lake kwa asili, kaiba jina la mtu. Au Mdasi wa Mwitu ndiye mawe matatu original. Flight of ideas.
madela wa madilu...kuna jamaa hapa amecheka mchango wako hadi anamwagiwa maji...are u okay!
<br />
<br />
what are u talking about?au unaota?
madela wa madilu una maanisha MAHANGA?
Kwa heshima yako mwanaJF nimewaondoa wabunge wa sisiemu kwa vishindo kwa sababu bado wamemkubatia Rostam Aziz na kundi lake la mafisadi papa licha ya maovu ya kutisha ambayo yametajwa juu yake na hajakana. Hawa wabunge wa sisiemu ndiyo watakaoangamiza taifa letu.mkuu esteem mp is a very sensitive prerogative political adherence ..... please exclude sisiem from a list of true and native representatives in the whole doctrine pf esteemed political leaders
Yep, with reasons!Hivi mapepo huwakumba zaidi wanawake kuliko wanaume? :thinking:
Yeye ametutatuilia tatizo la umeme kwa kuliongeza au kwa kurudi rivasi, tarehe zote alizotuahidi huko nyuma kuatutakua hakumamatatizo ya umeme zimefika zimepita, hakumbuki anaendelea kutoa ahadi nyingine za tarehe.
Kawamba nae elimu haiwezi.
Kwa pressure hii ya Chademe bungeni tutegemee wabunge wa sisiemu kusupport hoja za vioja bungeni; hawapendi progressive ideas; badala yake wanasifia bila aibu failure rate ya 88% ya form four!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Wakati wa kampeni za uchaguzi katika mojawapo ya midahalo huko Mbeya candidate mmoja alitoa moja ambalo sintahau maishani- kwamba shule za sekondari za kata ni viwanda vya kutengeneza wajinga kaitka taifa hili-kwa maneno mengine ni kwamba kwa miaka michache ijayo idadi ya wajinga Tz itaongezeka mno!!!!! Haijapita hata miezi 6 tayari zao la kwanza limemthibitisha mwana falsafa huyu ambaye sitamsahau kamwe; sasa vioja ni sifa nilizosikia wabunge wa sisiemu wakimwagia viwanda hivi!!!!!!! Shame upon them!!!!!!!!!!!!!!! Tatizo ni kuzoea vya kuchakachua-vya creativity kwao ni tusi!!!!!!!!!!! Hawa ndiyo wabunge wa chama tawala ambacho kimeamua kutumia nguvu kuvuruga kanuni za bunge kwa maslahi yao binafsi!!!!!!!!!!!!CCM haitaacha kunuka mpaka imuondoe aliye@&ji£%nye*§a.
Sasa wao wanaendelea kupuliza feni huku madirisha wameyafunga.
"ni ujinga kutenda kwa njia zile zile utegemee matokeo tofauti"
1. Ngereja.... umeme ushamshinda!!
Majira ya saa tatu asubuhi leo Shule ya sekondari ya Sumaye mapepo yamewakumbwa wanafunzi na kukimbizwa hospitalini.
Source: Michuzi blog