tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Wadau mnaweza mkanishangaa lakini sitashangaa kwan kushangaa vinavyoshangaza si tatizo. Wadau namba hiyo imenipigia na nimeshndwa kupokea, napiga haipatikani. Nahis ni simu kwa ajir ya kaz, plz anayeweza kuitambua.