Nina miaka 27.
Kwa sasa naishi mtwara na ndo ninakofanya kazi,hivi karibuni natarajia kuamia kibaha.
Nimewahi kuishi na familia mbili za kizaramo katika nyakati tofauti na kusema ukweli nilipendezewa nao sana.
Nikaweka nia kwamba nitakapoanza mchakato wa kuanzisha familia basi nikipata mzaramo itakua poa sana.
NAWASILISHA WADAU!
Kwa sasa naishi mtwara na ndo ninakofanya kazi,hivi karibuni natarajia kuamia kibaha.
Nimewahi kuishi na familia mbili za kizaramo katika nyakati tofauti na kusema ukweli nilipendezewa nao sana.
Nikaweka nia kwamba nitakapoanza mchakato wa kuanzisha familia basi nikipata mzaramo itakua poa sana.
NAWASILISHA WADAU!