Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,724
- 9,188
Hakuna sababu ya kupongezana hapa!!ni taarifa ametoa timemsikia full stop!
wivu huna ila roho inauma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna sababu ya kupongezana hapa!!ni taarifa ametoa timemsikia full stop!
Katika wiki tatu zijazo nitakuwa nafikisha umri wa miaka mitano kama mwanachama hai wa JF. Nilijiunga rasmi tarehe 10 October 2006, na katika kipindi chote cha uanachama wangu wa JF, nimeshughudia JF ikipanda sana na kujitofautisha sana na forums na blogus nyingine nyingi kama kisima cha mawazo ya kina, na vile vile chanzo cha habari nyeti zinazohusu mstakhabali wa nchi yetu.
Naomba mnipongeze kwa persistence yangu ya kuendelea kuwa mwanachama HAI wa JF miaka yote hiyo wakati kuna memba wengi sana kama Nungwi, Tibwilitibwili na wengineo wengi waliokwisha toweka hapa.
Hongera Mkuu, aidha binafsi nilishafikisha miaka mitano mwezi mmoja uliopita...
Poa poa.. mdogo mdogo tu... Kina ndio nini vile?Na wewe nawe, ukiona kichaka tu..truth is michango yako haina kina..
Kina==mashikoPoa poa.. mdogo mdogo tu... Kina ndio nini vile?
Kashaitimiza tayari..babu Kichuguu... Hongera sana nakutakia miaka mitano mingine
viva Babu
Hii thread ni ya 20112006 mpaka 2017=5years? Au mimi ndio sijaelewa. Hongera Bro.