Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
in addition to that, walioamua kufanya kazi basi wanaona kutoka na waume za watu ndo dilihuyu jamaa huwa anashiriki kili marathon (nilimuona 2009). kuna marathon alishawahi kushiriki wenzie wakapinga ushindi kwa madai kua hiyo miguu yake inapata less friction na kumuwezesha kuwa faster. rufaa ilikataliwa lakini.
tatizo letu sie excuses,kuna dada alikatwa miguu just chini ya kinena,ni fundi magari, ana mume na watoto 2! ila mianamke mizima inajipanga ubungo kuomba!
<br />in addition to that, walioamua kufanya kazi basi wanaona kutoka na waume za watu ndo dili<br />
shame on them!!!!!!!!!!!!!!!!
...Angeku bongo huyo ungemkuta anaomba pale mwembe togwa a.k.a Fire akiomba. lakini usishangae hapo anamapene ya hatari..Mungu hakunyimi vyote
Dah!, Ni hatai kwei kwei